Tanzania Now Faces Sanctions & Diplomatic Crisis Over Iran

Status
Not open for further replies.
Analeta ujanja ujanja hapa..na akifukuza hizo meli bakwata watamwandama kwa kushabikia ukristo(america) na hapo dhaifu atakuwa amebanwa kwenye kona
 
Tanzania ni inchi isiyo fungamana na upande wowote! hawa wamerekani wanatakiwa walijue hilo... ukoloni mambo leo ulipitwa na wakati!


Thats true on your keyboard you Moron.... The problem is we cant stop begging from West... Try to think BIG and tell me when Our Budget had no western Money??? We depend on West on Almost everything......
 
Haya ndio matunda ya kuwa Omba Omba.... Lazima tuwe na mtazamo tofauti na taifa letu. Check tunavyodharauliwa, Ranking officer writing to the President of United Republic of Tanzania? I was expecting President Barack Obama and not otherwise... :shetani:

No you are wrong, Obama ni raisi wa bara la North America, muungano wa 50 countries so hawalingani na kiwete hata kidogo. yaani rais wa Rwanda alingane na Obama? hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
[FONT=palatino
linotype]Wakuu
mambo yanasonga mbele. Mkulu kakaliwa kooni, naona safari za USA
zinaota majani. Tumechoka na kodi zetu kutumiwa vibaya, hawakujua JK ni
ndumilakuwili? Hataki DIASPORA wale huku na kule wakati yeye anakula na
Iran na wamarekani? Tuone sasa nani mwenye nguvu, JK na mafisadi wake au
wamarekani.... matonya sijui unanipta na bakuli lako?


********************************************

[FONT=courier
new]Dear President Kikwete,
I am writing to express my deep dismay that Tanzania has permitted the
National Iranian Tanker Company (NITC), to reflag at least 6 and as many
as 10 of its vessels under the Tanzanian ship registry, allowing them
to remain under NITC ownership and continuing to transport Iran’s crude
oil exports. This action by your government has the effect of assisting
the Iranian regime in evading U.S. and EU sanctions and generating
additional revenues for its nuclear enrichment and weapons research
programs and its support for international terrorism.

It is profoundly disappointing to me to learn that your government has
acted in contravention of the broad international coalition that is
working together to use peaceful means, including economic sanctions, to
change the threatening behavior of the Iranian regime. The decision to
accept the re-flagging of NITC vessels casts a shadow over Tanzania’s
international reputation.

I respectfully request that Tanzania cancel the re-flagging of the NITC
vessels. Given the close and cooperative relationship that our two
governments now enjoy, it would be unfortunate if this action were
permitted to stand.

It would be preferable that Tanzania take this action of its own accord.
However, your government should take note of President Obama’s
Executive Order 13608, signed May 1, 2012, which provides for the
imposition of sanctions on any entity worldwide, including foreign
governments, that assists Iran in evading U.S. sanctions. In my view,
reflagging Iranian oil tankers falls within the scope of sanctionable
activity under that Executive Order. In addition, if Tanzania were to
allow Iranian vessels to remain under Tanzanian registry, we in the
Congress would have no choice but to consider whether to continue the
range of bi-lateral U.S. programs with Tanzania.

Sincerely,

Howard Berman
Ranking Democrat, House Foreign Affairs Committee

Source
[/FONT][/FONT]House Foreign Affairs Committee Democrats- Ranking Member Howard Berman


Mh, ukitaka kula lazima uliwe! Cha nazi ....angekuwa na akili, tunge mshauri.
 
Naona wakristo wamechachamaa ku-support wamerekani aisee.. MTALAMBA MIGUU YA WAZUNGU ..

Anzisheni jeshi kama la walibya ili mmpate support kutoka US mnalialia nini??
 
Marekani usitupangie marafiki naona humu kuna watumwa wa kiakili wanadhani Marekani wapo kwa ajili ya kutetea wanyonge hawajua kama Marekani yeye pesa ndio kitu cha kwanza...mbona mmekaa kimya Marekani kachukuwa migodi yenu yote kwa mkataba wa miaka 99 kuchimba dhahabu.


Hata ufurukute vipi Marekani ndiyo inayofanya maamuzi duniani na ndio maana Nyerere aliposhindana na IMF ikawa ngumu akaamua kumwachia Mwinyi ili akubaliane nao kwani hali ilikuwa mbaya. Tusijidai kupambana na Marekani na jumuhia ya Ulaya ambao wako against mpango wa Nuklia wa Iran. Tukibisha hili tutakuwa wajinga na ni obvious tunajiingiza kwenye mtego mbaya ambao utairejesha nchi yetu nyuma sana. Tujifunze kwa zimbabwe je msimamo wa Mugabe umesaidiaje wazimbabwe kama si kuanguka kwa uchumi na wananchi kukimbilia SA. Sisi bado maskini tusijidai wakati asilimia 70% ya bajeti ya kuendesha nchi tunategemea kwa hawa Wamarekani na marafiki zako pamoja na mashirika ya misaada ambayo Marekani ina influence. JK aachane na hili suala hatutaki matatizo.
 
Ooohhh, Chezea kichwa ya nazi wewe. As long as atapata faida yeye binafsi, islam na familia yake hajali kitu. Mr, Selfish, me myself and I. Ni upepo mchafu, utapita tu.
 
SIJAONA onyo lolote kwenye barua husika....sana sana nilichoona ni diplomatic request(I respectfully request that Tanzania cancel the re-flagging of the NITC vessels) iliyotolewa na kinara wa vikwazo dhidi ya Iran(Rep. Berman has been a champion of Iran sanctions in Congress, building), Rep Berman. Hili nalo, ni jambo la kawaida kabisa ambalo hata kama lingefanywa na nchi yoyote bado similar REQUEST ingetolewa tu! By the way, how much does it cost for a tanker to have a flag of country X?! Mbona hata meli za maharamia huwa na bendera za nchi mbalimbali duniani hata kama hawakuzipata kihalali!!


Nadhani umesoma kwa haraka haraka. Rudia tena na kwa makini zaidi, utakutana na sentence inayosomeka hivi:

"It would be preferable that Tanzania take this action of its own accord."

Swali la kujiuliza, kama hatufanya sisi wenyewe kama walivyotushauri nini kitafuata?
 
hopeless thread...

katika zama hizi bado tunachaguliwa watu wa kuongea nao...nyambafu!!!
 
Inatisha kama somalia tumeizidi kwa kuomba omba jamaa wakikata mirija twafa
 
Tanzania ni inchi isiyo fungamana na upande wowote! hawa wamerekani wanatakiwa walijue hilo... ukoloni mambo leo ulipitwa na wakati!
We unafikiri misaada mingi inayokuja TZ ni ya bure? TZ ni ya tatu ulimwengin kwa kupokea misaada toka nje pamoja na kuwa na raslimali nyingi kuliko nchi nyingi ulimwenguni. JK amekamata mlungula toka kwa waarabu na akakamata toka kwa wazungu; sasa mlungula utatutokea puani sisi wa TZ. TZ ni nchi inayofubgamana na upande wowote wenye hela na unaohitaji rasli mali za TZ. Kazi kwetu!
 
Wamerekani waanzishe jeshi la upinzani (Lord resistance army) wawape silaha watawapa wakristo wengi sana ambao wako tayari kwenda msituni kumuondoa JK (after all ni dhaifu sana) na anajipendekeza kwa wakristo..

Fanyeni fasta undeni kikundi mtapata support ya amerika kelele za nini??
 
Marekani usitupangie marafiki naona humu kuna watumwa wa kiakili wanadhani Marekani wapo kwa ajili ya kutetea wanyonge hawajua kama Marekani yeye pesa ndio kitu cha kwanza...mbona mmekaa kimya Marekani kachukuwa migodi yenu yote kwa mkataba wa miaka 99 kuchimba dhahabu.

Toa maelezo ya kina, Mwarabu yenye anataka pesa au anatoa sadaka kupitia matumizi ya bendera ya bongo? Wote wezi.
 
If this is true, I fully support USA and they should put in effect the sanctions to Tanzania. We have seen President JK do things without consulting the parliament, dealing with Iran is something we should think of otherwise we will be isolated with outside World and this will be our end.

Those Uranium projects Iran want to support Tanzania to build power stations are to blind Tanzanians and this President JK he doesn't care anything now, he just look how to create relations with our nations were he will dump his stolen assets or someone to protect him after his last term. He has been friend with Western but he realized Western countries they will pretend friend but later they will finish him without looking back of what he gave or support them.

Mark my word, after JK ends his term they will come back to him....we remember how the death of Ouko happened in Kenya, now Tanzania Govt. is murdering innocent people, threats to people who protest some issues, killings of albino, killings of oppositions demonstrators, uncertainty of death of former BOT governor which doesn't bring sense to anyone..of all senior government official such as BOT Governor death no government witness on the death, body not brought to Tanzania, family members rejected condolences in Tanzania...we need new constitution to probe all these thieves ...

There are many issues which you can't imagine are happened in Tanzania with President JK seating without a word...ni upepo tu utapita..

Mi sawa na mpita njia ila kwa taarifa yenu hata Uranium ya Iran ilitoka Tz kwa kupelekwa na Rostam Azizi aliyekuwa anaichimba kinyemela toka sehemu husika. Deal ilianza wakati wa Mwinyi na deal lenyewe ndo hadi leo linapeleka mchanga katika machimbo mbali mbali na kiwanda chetu cha cement hapo Wazo hill. Na deal ni kampuni ya Caspian ambayo inatokana na mausala ya ukulima wa mpunga bonde la Rufiji (mambo ya Rubada). Mradi huo uligharimiwa na serikali ya Iran na baada ya miaka 2 mitambo yote alikabidhiwa Rostam ingawaje mitambo iliingizwa kwa msamaha wa kodi na ilikuwa na MoU kuwa baada ya mradi itakuwa mitambo ya serikali. Kwa mshangao ikakabidhiwa kwa RA na ndo sakata la kurutubisha likaendelea kule Iran. Yote USA wanajua na walimtaka JK awe rais ili wapunguze uwezekano wa kuendelea kupeleka mambo hayo huko. Kwa sasa kuna uwezekano kwa kushinikizwa na USA RA hatarudi hapa TZ maana ... ndo hivo tena.

Chanzo cha habari ni kuunganisha mambo kati ya Caspian na RA na mambo yaliyojiri baada ya hayo yote.
 
Njiwa, how do you connect a statement/letter from the US Congress with CDM? Siyo kila anayeipinga serikali hii analipwa na CDM. Kwa watu kama wewe critique yeyote ya hii serikali ni attack kwa CCM. Lazima uelewe kwamba US wana interest zao ambazo viongozi wetu hapa TZ wameshawaahidi kuzi-support. It's international relations na as you can see budget yetu imejaa mashimo ambayo yatajazwa mainly kwa ajili ya hizo ahadi. Of course na Iran nao wamepewa ahadi na hao viongozi wetu ili watusaidie kwenye sehemu kadhaa. Sasa kama utashindwa kuelewa umuhimu wa kuwa mwangalifu wakati marafiki zako wawili wanagombana, then una problem ya kuelewa maisha in general - pure common sense. Kwenye issue kama hii ukorofi na ubabe unao-advocate hautusaidii sisi au mwingine yeyote.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom