AU HAJUI KUSOMA, MBONA HIYO WEB IPO PALE CHINI, anadhani barua za kibongo mpaka aone mtu katia sahihi mwambie technolojia imekwenda mambo ya kuandika kwenye makaratasi yameshapitwa na wakati. kweli ujinga ni maradhi mabaya jamani..Mtumpole, Ni kweli, hii habari ndio pia kwenye website ya Democrats. angalia
House Foreign Affairs Committee Democrats- Ranking Member Howard Berman