segwanga
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 2,789
- 729
Sijawahi kuwa katika moja ya nchi za Afrika mashariki na kusikia raia wa nchi hizo wanatuogopa kwa vitu gani hasa.
Sisi tunawagopa wakenya katika nyanja nyingi mfano elimu yao inatutisha balaa hasa jinsi wanavyoweza kuongea kiingereza kuzidi wabongo, kwa sababu wabongo kipimo chao cha elimu ni uwezo wa kuongea kiingereza.
Wakenya pia wanatisha kwa ujanja wa kibiashara na wamekuwa wakijipatie mapato mengi kutokana na rasilimali zetu kama mlima kilimanjaro na Tanzanite hata babu wa Loliondo.
Ukija kwa waganda, pia wanatutisha kwenye elimu na ujanja kiaina. Je sisi tunatisha kwa lipi?
Sisi tunawagopa wakenya katika nyanja nyingi mfano elimu yao inatutisha balaa hasa jinsi wanavyoweza kuongea kiingereza kuzidi wabongo, kwa sababu wabongo kipimo chao cha elimu ni uwezo wa kuongea kiingereza.
Wakenya pia wanatisha kwa ujanja wa kibiashara na wamekuwa wakijipatie mapato mengi kutokana na rasilimali zetu kama mlima kilimanjaro na Tanzanite hata babu wa Loliondo.
Ukija kwa waganda, pia wanatutisha kwenye elimu na ujanja kiaina. Je sisi tunatisha kwa lipi?