uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 3,998
- 8,380
Viongozi wa africa mashariki wamefanya kosa kubwa sana kuharakisha somalia kukaribishwa East Africa community
Nchi ya somalia imevurugika,imeharibika ugaidi umekita hatamu
Wasomali watatumia huu mwanya kujipenyeza kueneza ugaidi kwenye nchi hizi za africa mashariki
Km bila kuwa mwanachama wa africa mashariki amewachukua na kuwarubuni vijana kwenda somalia kujiunga na makundi ya kigaidi sasa amwruhusiwa kuingia chumbani itakuwaje?
Mzee mseven ndiye pekee alibaki km baba wa africa mashariki ila naona amezidiwa ujanja wanasiasa wameamua kuwakaribisha hawa jamaa
Kivyovyote vile somalia kukaribishwa East Africa madhara ni mengi kuliko faida
Somalia wameshindwa kuungana na ndugu zake eritrea aje ajiunge na sisi east africa?
Ni suala la muda tu umoja huu utavunjika
Nchi ya somalia imevurugika,imeharibika ugaidi umekita hatamu
Wasomali watatumia huu mwanya kujipenyeza kueneza ugaidi kwenye nchi hizi za africa mashariki
Km bila kuwa mwanachama wa africa mashariki amewachukua na kuwarubuni vijana kwenda somalia kujiunga na makundi ya kigaidi sasa amwruhusiwa kuingia chumbani itakuwaje?
Mzee mseven ndiye pekee alibaki km baba wa africa mashariki ila naona amezidiwa ujanja wanasiasa wameamua kuwakaribisha hawa jamaa
Kivyovyote vile somalia kukaribishwa East Africa madhara ni mengi kuliko faida
Somalia wameshindwa kuungana na ndugu zake eritrea aje ajiunge na sisi east africa?
Ni suala la muda tu umoja huu utavunjika