Tanzania ni tishio kwa kitu gani kwa nchi za africa mashariki?

nimetembelea forums mbali mbali za EA nimegundua wa TZ tunatisha kwa ubishi,Utata na umajinuni kama sio Umaaamuma (JF) ikiongoza...
 
nafikiri tz tunatisha africa nzima si africa mashariki pekee, kwa umoja (watu wakiungana wakiwa wamoja ni silaha ya hatari mkiwachokoza), pia tunazo resources nyingi na tunao ufukwe wa bahari mrefu sana. ardhi, madini, gas n.k, population pia ni kubwa. kwasababu hii tunakuwa tishio kiuchumi na kiusalama kwa nchi nyingine kiasi kwamba kenya ambao wamekuwa mbele yetu kipindi kirefu hawalali wakiogopwa kupitwa na watz.
 
Mfumo wetu wa elimu hasa elimu ya msingi ni duni sana na ndo mwanzo wa mwanafunzi kushindwa kujiamini na kuweza kujieleza vizuri inampata anapokuwa sekondari baadaye chuo na kazini. Wa kulaumiwa ni serikali hasa bunge na sio serikali kwa ujumla bali watekelezaji wa sera. Hela za bajeti ya elimu nadhani ndo huwa hela nyingi kuliko bajeti yoyote ile ila usimamizi hakuna mwisho wa siku bora liende si watoto wao wanasoma international taabu ya nini ?
 
Well
ARDHI..
Tanzania inaeneo kubwa sana ..
Jumlisha Kenya na Uganda hawatukuti..
hakuna kitu muhimu kama ardhi..
angalia jinsi Dubai wanavyo shindilia
Michanga na mawe baharini
kupata hio
Ardhi....
Tunajivunia hilo..

Huo mchanga wanautoa wapi?
 
Tunatisha kwa vingi ila cha kwanza ni umoja. Huwa nasoma blogs mbalimbali za Kenya,kila watachojadili ni kutukanana nakubaguana kimakabila waziwazi! Cha pili tunatisha kwa aldhi kubwa tuliyonayo ambayo asilimia kubwa bado hatujaitumia,tatu tunatisha kwa kiasi cha rasilimali tulizonazo. Nne tunatisha kwa more political stability compared to all other east african countries.
 
Chips mayai,music and even the swahili films are not too bad.

Tru dat Zuri.In Kenya there's no Chips Mayai unless maybe coastal area.

Personally,I'm a Kenyan.Wa Tz mnatisha sana Kiswahili hongereni.Natural resources mnazo tena kwa sana.But if the fruit of it doesn't trickle to mwananchi wa kawaida, then it's nothing. Tanzania ina nafasi kubwa ya kukua kiuchumi bt it's jst a matter abt the leadership.Thanks.
 
wingi wa vigrosari na maandishi " safari" pembezoni ya barabara zetu kuu.
tz mko juu tatizo ni kutojiamini tu leo hata akija mtu toka malawi atanyenyekewa kama katoka ulaya vile afu wengi tatizo hamjawahi hata kutoka nje ya mipaka ya tz mnaona mko chini niwape taarifa tu mko juu na mnatisha sana
 
Tru dat Zuri.In Kenya there's no Chips Mayai unless maybe coastal area.

Personally,I'm a Kenyan.Wa Tz mnatisha sana Kiswahili hongereni.Natural resources mnazo tena kwa sana.But if the fruit of it doesn't trickle to mwananchi wa kawaida, then it's nothing. Tanzania ina nafasi kubwa ya kukua kiuchumi bt it's jst a matter abt the leadership.Thanks.
Umeongea vema sana mkuu, kudos!
 
tz mko juu tatizo ni kutojiamini tu leo hata akija mtu toka malawi atanyenyekewa kama katoka ulaya vile afu wengi tatizo hamjawahi hata kutoka nje ya mipaka ya tz mnaona mko chini niwape taarifa tu mko juu na mnatisha sana
Ni kweli, nimeitembelea Burundi na kukaa Ngozi na Bujumbura. Kote kuanzia Muyinga, Bugarama, Ngozi na Buja. Warundi wanatuhusudu sana na wakitufurahia sana watz.

Ukitoka Uvira na kuitafuta Bukavu...kote twathaminika na tumewazidi mengi sana.

Kwa East Africa na maendeleo yake, competitor wa Tanzania ni Kenyans pekee.

Ukiitazama Bujumbura ni kama Mwanza city, haiwezi kuifikia Dar. Tumewaacha mbali sana.
 
The tallest skycrapper in east and central africa is in Sokoine Drive,Dar es salaam,Tanzania
 
Wenzetu hasa Wakenya wanatuzidi kwa kutoka nje ya nchi yao but the rest Wtz tupo juu kwa sasa na mkitaka kujua hayo tembeeni ndugu zangu kamwe hatutajidharau,kwa WATANZANIA tupo juu sana licha ya changamoto ya viongozi wetu na ubinafsi wao.
 
WaTz wanatisha sana kwa umbea na kulalamika plus majungu na uvivu...kingine wanaridhika haraka na maisha..mtu ana kagari tu ka GX100 au ka noah/spacio basi anaona maisha kayaweza sana hata hapo Nairobi hajawahi fika na hajui future ya watoto wake itakuwaje!!!..utamkuta kila siku rose garden...maisha kayapatia na ameridhika pia..teeh teeh
 
Tanzania kama nchi ni tishio sana kwa majirani zetu kwa wingi raslimali ambazo wao hawana, zaidi ya hilo hakuna kitu cha kujivunia kama taifa. Tanzania imegubikwa na siasa zisizoangalia maslahi ya taifa bali yale ya wanasiasa tu, ndiyo maana hatuna sera za kuendeleza elimu ya kujivunia (leo hii mkenya akija anapewa kazi kufundisha Academy hata kama hana cheti cha kumruhusu kufanya hivyo huko kwao Kenya), hatuna sera za kuboresha huduma zetu za afya za kujivunia (askari wa marekani alipomumia huko Sudani aliepelekwa Kenya kwa matibabu siyo Uganda wala Tanzania, na baada ya hapo akepelekwa Ujerumani), hatuna ulinzi na usalama wa kujivunia ndiyo mana watu wanaweza kumwagia wenzao tindikali halafu serikali ikakaa kimya kama hakuna tatizo.
 
East Africa Tanzania pia mwatisha kwa mziki wa kizazi kipya esp HIPHOP, ukiwaangalia akina chidi benz, nako tu Nako, mzee mzima FidQ, Profesa Jay, Langa, Mwana FA, Noorah aka baba star.. Imagine mimi ni mkenya, napenda HipHop sanaa, but i'd rather listen to Bongo HipHop than our Kenyan bullshit.

We Mkenya umetoa wapi kiswahili kizuri hivi?
 
Back
Top Bottom