Makindi N
JF-Expert Member
- Mar 14, 2008
- 1,066
- 173
Unakuta mtu ni full mitumba, "kawoshi - mtumba, shati, suruali, bukta ya ndani, chupi, soksi, saa, viatu, shoe lace, miwani, cheni, kofia, leso... ni mitumba. Nywele kanyoa kwa mashine ya mtumba. Kalalia shuka ya mitumba, kitanda - mtumba, carpet chumbani mtumba, mto, foronya mitumba. Vitabu - mitumba, kasikiliza radio - mtumba, TV mtumba. Hata hizo radio na TV programs ni mitumba. AC chumbani -mtumba, vyombo vya kupikia - mitumba.....
Mabarabarani magari yaliyojaa ni mitumba, baiskeli, vipuri - mitumba. Barabara zetu za Big G ni mitumba tu. Ndege zetu za abiria - mitumba tu. Umeme tungewahi kidogo kubadilisha sheria zetu tungenunua mitambo ya Dowans - mitumba.
Kumbe ukiangalia kwa jicho la tatu utagundua kwamba kumbe akili zetu ni mitumba, tuna wanasiasa mitumba, misaada tunayopata ni mitumba tu, experts na wasomi wetu ni mitumba tu ya elimu ya nje na wanasiasa wetu. Mitaala yetu mashuleni ni mitumba tu. Yaaani ni mitumba from Dar - Kigoma and from Mara - Mtwara etc.
Ni wapi ambapo Tanzania si mitumba? Matatizo/shida ni sehemu ya shida/matatizo kwa binadamu, lakini kwanini tuendelee kuwa katika dimbwi la starehe kwa maana ya resources tulizonazo (km nchi) lakini ziwe ni chanzo cha Tanzania kuwa mitumba?
Mabarabarani magari yaliyojaa ni mitumba, baiskeli, vipuri - mitumba. Barabara zetu za Big G ni mitumba tu. Ndege zetu za abiria - mitumba tu. Umeme tungewahi kidogo kubadilisha sheria zetu tungenunua mitambo ya Dowans - mitumba.
Kumbe ukiangalia kwa jicho la tatu utagundua kwamba kumbe akili zetu ni mitumba, tuna wanasiasa mitumba, misaada tunayopata ni mitumba tu, experts na wasomi wetu ni mitumba tu ya elimu ya nje na wanasiasa wetu. Mitaala yetu mashuleni ni mitumba tu. Yaaani ni mitumba from Dar - Kigoma and from Mara - Mtwara etc.
Ni wapi ambapo Tanzania si mitumba? Matatizo/shida ni sehemu ya shida/matatizo kwa binadamu, lakini kwanini tuendelee kuwa katika dimbwi la starehe kwa maana ya resources tulizonazo (km nchi) lakini ziwe ni chanzo cha Tanzania kuwa mitumba?