rip kili starz..
Tatizo si kocha...kwa mfumo huu matokeo haya ni sawa.
ni kama vile ...jisachiHivi nini maana ya neno mia? huwa nakereka sna.
mkuu how can you say tatizo c kocha wakati selection yake ya wachezai imeegemea upande mmoja hususani nafasi ya beki ili hali tunamabeki wazuri sana katika ligi yetu kuna mdau mmoja alicomenti kuwa kwann kocha hakuchukua walau mchezaji mmoja ktk jkt oljoro ilihali ipo katika kiwango kizuri sana kiuchezaji, akaselect wachezaji kutoka timu ya mkiani kama sio uswahiba ni nn halafu wanawalazimisha watu kuwa wazalendo kumbuka mchezo wa mpira ni burudani so mtu anakwenda uwanjani kuburudika na kushangilia timu anayoipenda
NB kama ww ukikabiziwa timu kama ya brazil ikiwa 'full' utaonekana kocha mzuri
Tatizo si kocha...kwa mfumo huu matokeo haya ni sawa.
Simba 0-2 Zimbabwe
mkuu how can you say tatizo c kocha wakati selection yake ya wachezai imeegemea upande mmoja hususani nafasi ya beki ili hali tunamabeki wazuri sana katika ligi yetu kuna mdau mmoja alicomenti kuwa kwann kocha hakuchukua walau mchezaji mmoja ktk jkt oljoro ilihali ipo katika kiwango kizuri sana kiuchezaji, akaselect wachezaji kutoka timu ya mkiani kama sio uswahiba ni nn halafu wanawalazimisha watu kuwa wazalendo kumbuka mchezo wa mpira ni burudani so mtu anakwenda uwanjani kuburudika na kushangilia timu anayoipenda
NB kama ww ukikabiziwa timu kama ya brazil ikiwa 'full' utaonekana kocha mzuri
Simba 0-2 Zimbabwe