Simba 0-2 Zimbabwe
it could be
Simba 0-2 Zimbabwe
Wao wamekomaa tu Dar....Watu huku sumbawanga tunavipaji lakini huwezi sikia kocha kaja kufanya selection.
Hakuna timu mbovu kama hii ya tanzania kili stars,ovyo sana ni timu mbovu kuliko timu yoyote ktk mashindano haya,mungu jaalia wafungwe 5 na watolewe,ili kina julio wakome kuchagua wachezaji kufata usimba na uyanga.
Wao wamekomaa tu Dar....
Hakuna timu mbovu kama hii ya tanzania kili stars,ovyo sana ni timu mbovu kuliko timu yoyote ktk mashindano haya,mungu jaalia wafungwe 5 na watolewe,ili kina julio wakome kuchagua wachezaji kufata usimba na uyanga.
Hivi wabongo tunafahamu nini? Uchumi mbovu, siasa mbovu, michezo ziro!!
mkuu mi nipo kinyume na ww makocha wanamatatizo makubwa, walikosea tangu mwanzo wa selection zao za wachezaji huwezi kumwacha mtu kama jonh boko achilia mbali jerr tegete wanaweza wasifanye vizuri sana kwenye mazoezi yao lakini wanajua kujipozisheni kwenye nafasi za kufunga
leo wanafungwa tano kama sio m navua nguo hadharani
aya mpira unaelekea kuisha anza kabisa kuitoa iyo chupi maana kna dalili zote hazitafika tano...leo wanafungwa tano kama sio m navua nguo hadharani