Baada ya hii mechi, wachezaji wote wa Kili Staz na Makocha wao inabidi wastafishwe mechi za kimataifa kwa manufaa ya Umma.
sure mkuu inauma sana watawalaum watu kwa kukosa uzalendo haiwezekani kila mechi ya stars mtu unakwenda uwanjani kupata machungu kamavile umelazimishwa lakini ulikwena kwa kupenda mwenyewe na ukalipa pesa ya mlangoni