NakuliliaTanzania
JF-Expert Member
- Sep 24, 2007
- 555
- 7
Sina hakika kama na wenzangyu mmeliona hili lakini kwa siku za karibuni hili gazeti linaloaminika kwa taarifa moto moto na linalojulikana kwa kupigana dhidi ya ufisadi limekuwa likichelewa kutoka mtandaoni...sijajua kiini hasa ni nini..kama ni matatizo ya IT au ni uamuzi wa makusudi
Yote kwa yote, wanapaswa waelewa kuwa wana wasomaji wengi sana online na kuchelewa kutoka mtandaoni, wataanza kutupoteza taratibu
Taarifa unazisoma almost jioni..zishakuwa kiporo tayari..na wakati huo huo magazeti mengine yanakuwa yameshaandika na yapo mtandaoni
Hivi wanaweza kutuambia ni nini hasa tatizo au hakuna tatizo?
Yote kwa yote, wanapaswa waelewa kuwa wana wasomaji wengi sana online na kuchelewa kutoka mtandaoni, wataanza kutupoteza taratibu
Taarifa unazisoma almost jioni..zishakuwa kiporo tayari..na wakati huo huo magazeti mengine yanakuwa yameshaandika na yapo mtandaoni
Hivi wanaweza kutuambia ni nini hasa tatizo au hakuna tatizo?