Tanzania Daima imemezwa na mafisadi?

NakuliliaTanzania

JF-Expert Member
Sep 24, 2007
555
7
Sina hakika kama na wenzangyu mmeliona hili lakini kwa siku za karibuni hili gazeti linaloaminika kwa taarifa moto moto na linalojulikana kwa kupigana dhidi ya ufisadi limekuwa likichelewa kutoka mtandaoni...sijajua kiini hasa ni nini..kama ni matatizo ya IT au ni uamuzi wa makusudi

Yote kwa yote, wanapaswa waelewa kuwa wana wasomaji wengi sana online na kuchelewa kutoka mtandaoni, wataanza kutupoteza taratibu

Taarifa unazisoma almost jioni..zishakuwa kiporo tayari..na wakati huo huo magazeti mengine yanakuwa yameshaandika na yapo mtandaoni

Hivi wanaweza kutuambia ni nini hasa tatizo au hakuna tatizo?
 
Sina hakika kama na wenzangyu mmeliona hili lakini kwa siku za karibuni hili gazeti linaloaminika kwa taarifa moto moto na linalojulikana kwa kupigana dhidi ya ufisadi limekuwa likichelewa kutoka mtandaoni...sijajua kiini hasa ni nini..kama ni matatizo ya IT au ni uamuzi wa makusudi

Yote kwa yote, wanapaswa waelewa kuwa wana wasomaji wengi sana online na kuchelewa kutoka mtandaoni, wataanza kutupoteza taratibu

Taarifa unazisoma almost jioni..zishakuwa kiporo tayari..na wakati huo huo magazeti mengine yanakuwa yameshaandika na yapo mtandaoni

Hivi wanaweza kutuambia ni nini hasa tatizo au hakuna tatizo?

Kila nikisema hapa kwamba Watanzania tuna matatizo wote kwa ujumla wetu... kuna watu wanasema ni CCM tu... sasa sijui hapo Tanzania Daima napo CCM ndio wanaoendesha hilo gazeti
 
Kila nikisema hapa kwamba Watanzania tuna matatizo wote kwa ujumla wetu... kuna watu wanasema ni CCM tu... sasa sijui hapo Tanzania Daima napo CCM ndio wanaoendesha hilo gazeti

kwi kwi kwi,

Mkulu Kasheshe kumbe hujui kuwa webmaster wa Tanzania Daima ni ccm damu damu. No wonder makala motomoto huwa hazitokei haraka kwenye website......lol
 
Wakikwambia wana matatizo ya staffing utasemaje?

Maoni yangu ni kuwa service usiyoilipia na ambayo hujui inakuwa funded vipi huna haki ya kuilalamikia quality yake.Ingekuwa ni subscription service ungeweza kulalamikia punctuality.Au kama wangekuwa wanakosea katika content hapo hata bila ya kuwa subscriber ungeweza kukosoa upotoshaji.

Lakini sasa hivi wanaweza kukwambia wanachelewesha makusudi ili watu wanunue print edition kwanza nakala za kutosha halafu wataweka online, which is a fair business strategy considering they have expenses and are nopt a charity.

Badala ya kuwapigia kelele kwamba wanachelewa inatakiwa tuwashukuru kwamba angalau wapo online, magazeti mangapi ya bongo (never mind the quality) hayapo/ yapo online?
 
Kila nikisema hapa kwamba Watanzania tuna matatizo wote kwa ujumla wetu... kuna watu wanasema ni CCM tu... sasa sijui hapo Tanzania Daima napo CCM ndio wanaoendesha hilo gazeti

Duh..Mkuu Kasheshe..ndo maana nimeileta hapa kwa sababu hapa tunamkoma nyani giledi,, haijalishi mi siliangalii kichama zaidi naliangalia kama sehemu ya uwajibikaji...wakati wenzetu wanaupdate stories kila dakika/saa, wenzetu ndo kwanza wanatuletea viporo....ingetakiwa walau habari za kesho yake by midnight zimeshapostiwa....
 
Wakikwambia wana matatizo ya staffing utasemaje?

Maoni yangu ni kuwa service usiyoilipia na ambayo hujui inakuwa funded vipi huna haki ya kuilalamikia quality yake.Ingekuwa ni subscription service ungeweza kulalamikia punctuality.Au kama wangekuwa wanakosea katika content hapo hata bila ya kuwa subscriber ungeweza kukosoa upotoshaji.

Hakika nimechoka taifa langu kweli linaenda kinyumenyume na hili nalo linatetewa...!!!

Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii huuu ni unaziiiiiiiiiiiiii
 
Wakikwambia wana matatizo ya staffing utasemaje?

Maoni yangu ni kuwa service usiyoilipia na ambayo hujui inakuwa funded vipi huna haki ya kuilalamikia quality yake.Ingekuwa ni subscription service ungeweza kulalamikia punctuality.Au kama wangekuwa wanakosea katika content hapo hata bila ya kuwa subscriber ungeweza kukosoa upotoshaji.

Lakini sasa hivi wanaweza kukwambia wanachelewesha makusudi ili watu wanunue print edition kwanza nakala za kutosha halafu wataweka online, which is a fair business strategy considering they have expenses and are nopt a charity.
Badala ya kuwapigia kelele kwamba wanachelewa inatakiwa tuwashukuru kwamba angalau wapo online, magazeti mangapi ya bongo (never mind the quality) hayapo/ yapo online?

Mkuu Pundit, thats the information am looking for..watuambie kama ni business strategy...kama umekuwa ukifatilia, mwanzoni haikuwa hivi...walikuwa angalao asubuhiunalikuta gazeti

Ona yet another note, pamoja na kuwa hatulipii, the fatc kuwa tunatenbelea website yao nadhani ina maana kubwa kibiashara na pia reputation yao..kumbuka wengine wanaweka matangazo...so inategema hits ngapi web yako inapata....so idadi ya watu wanaotembelea web yako nadhani ni muhimu sana
 
Duh..Mkuu Kasheshe..ndo maana nimeileta hapa kwa sababu hapa tunamkoma nyani giledi,, haijalishi mi siliangalii kichama zaidi naliangalia kama sehemu ya uwajibikaji...wakati wenzetu wanaupdate stories kila dakika/saa, wenzetu ndo kwanza wanatuletea viporo....ingetakiwa walau habari za kesho yake by midnight zimeshapostiwa....

Ninayo principle moja;

Ukitaka kuchezea timu ya soka ya taifa lazima utuwakilishe vyema; ukitaka kuwa miss Tanzania lazima utuwakilishi vyema, ukitaka kuwa mkulima lazima uzalishe kwa kiwango cha hali ya juu, ukiwa umejiingiza kwenye habari lazima ufanye hivyo kwa makini. Kama huwezi tafuta shughuli nyingine yoyote unayoiweza vizuri.

Nimesikitishwa sana na wanaJF kutetea uzembe huu... kwa hakika mulaaniwe ninyi munayetetea uzembe...kisa tu ati gazeti lenu!!!!
 
Ninayo principle moja;

Ukitaka kuchezea timu ya soka ya taifa lazima utuwakilishe vyema; ukitaka kuwa miss lazima utuwakilishi vyema, ukitaka kuwa mkulima lazima uzalishe kwa kiwango cha hali ya juu, ukiwa umejiingiza kwenye habari lazima ufanye hivyo kwa makini.

Nimesikitishwa sana na wanaJF kutetea uzembe huu... kwa hakika mulaaniwe ninyi munayetetea uzembe...kisa tu ati gazeti lenu

hapa mkulu unawaongelea kina nani hao waliotetea hili?

Kwi kwi kwi...
 
Siyo kutetea,

Naona baadhi yetu Wabongo tunazoea sana vitu vya dezo kiasi cha kuwa na utamaduni wa kwenda beyond kuzoea services hizi, sasa tunaanza kudemand.

Mfano, ukiwa unatembea barabarani mvua ikaanza kunyesha, ukakimbilia nyumba inayovuja maji kiushkaji ikusitiri kutoka kwenye mvua, unaweza kuanza kuwafokea na kuwalalamikia wenye nyumba ile kuwa hawafai kwa sababu nyumba yao inavuja maji?

Huwezi, kwa sababu hulipi kodi na wala hujawasaidia kujenga.

Vivyo hivyo katika swala lako.

Kuchelewa kwa gazeti ni swa na nyumba inayovuja, siyo kitu perfect lakini better than nothing.Unapopigia kelele gazeti linalochelewa ni sawa na mtu anayekosa shukurani pale kwenye nyumba iliyomsitiri kutoa mvuani lakini nayo inavuja.

Ukitaka kuweza kumpigia kelele baba mwenye nyumba kwamba nyumba inavuja lipa kodi (subscribe) ama sivyo acha kabisa kuingia katika nyumba hiyo (dont bother to go to the site)
 
Ninayo principle moja;

Ukitaka kuchezea timu ya soka ya taifa lazima utuwakilishe vyema; ukitaka kuwa miss Tanzania lazima utuwakilishi vyema, ukitaka kuwa mkulima lazima uzalishe kwa kiwango cha hali ya juu, ukiwa umejiingiza kwenye habari lazima ufanye hivyo kwa makini. Kama huwezi tafuta shughuli nyingine yoyote unayoiweza vizuri.

Nimesikitishwa sana na wanaJF kutetea uzembe huu... kwa hakika mulaaniwe ninyi munayetetea uzembe...kisa tu ati gazeti lenu!!!!

Hiyo principle yako, unajuaje kama hao wanataka kukuwakilisha kama unavyofikiri? Una hakika gani kwamba hawafanyi effort zote lakini labda wanashindwa kiuchumi? Mbona hujalijibu swali langu la msingi, kwamba wewe, mtu mwenye commitment kubwa sana na excellence, unalisupport vipi hili gazeti kuhakikisha kuwa liko online on time?

Yaani watu tunakosa empathy, tunakosa kuwa considerate, tunakosa kuangalia environment, tunaishi katika utopia tu, kila siku kulaumu kulaumu bila hata kujaribu kuangalia chanzo, bila hata ku volunteer possible solutions.

Kwa taarifa tu mimi sina uhusiano wowote na magazeti Tanzania.
 
Siyo kutetea,

Naona baadhi yetu Wabongo tunazoea sana vitu vya dezo kiasi cha kuwa na utamaduni wa kwenda beyond kuzoea services hizi, sasa tunaanza kudemand.

Mkuu Pundit; Heshima mbele

Toa mifano hata 100, lakini kwa sasa tunaongolea la Tanzania Daima; huna haki hata chembe ya kuthubutu kutetea... kama kuna tatizo la kiufundi website ni ya kwao wanauwezo wakueleza visitors wao kwamba wanatatizo gani... wakati wowote, muda wowote.

Hapa tatizo ni utamaduni wetu wa-kutojali wateja (clients and potential customers).

Mifano mingine tuitafuitie thread yake... hapa tunazungumzia Tanzania Daima.
 
Hiyo principle yako, unajuaje kama hao wanataka kukuwakilisha kama unavyofikiri? Una hakika gani kwamba hawafanyi effort zote lakini labda wanashindwa kiuchumi? Mbona hujalijibu swali langu la msingi, kwamba wewe, mtu mwenye commitment kubwa sana na excellence, unalisupport vipi hili gazeti kuhakikisha kuwa liko online on time?

Yaani watu tunakosa empathy, tunakosa kuwa considerate, tunakosa kuangalia environment, tunaishi katika utopia tu, kila siku kulaumu kulaumu bila hata kujaribu kuangalia chanzo, bila hata ku volunteer possible solutions.

Kwa taarifa tu mimi sina uhusiano wowote na magazeti Tanzania.


Kwa bahati mbaya unaonge na a mtu anayeyafahamu haya mambo ndani nje... mfano wa kuwa makini at least na kujali wateja huu hapa


Kama hujawa tayari unafanya kitu kama hicho hapo; it doesn't cost you anything...

Yaani taasisi kama ile inazidiwa hata na invisible... ambaye JF ikiwa down anatueleza... hey Tanzanians kindly wake up guys...
 
Mimi tatizo langu ni hii culture ya freeloaders kuanza kupata kibesi kupigia watu kelele kenda kenda kwa service wasiolipia.

Kuna watu walisema no representation, no taxation

Kwangu mimi hii ni issue simple sana,just flip that to no taxation, no representation.

Wenzetu wanavyofanya nchi za watu mabepari, ukiona service ya maana ambayo unaipenda na unaipata bure inaanza kugwayagwaya, unaomba mwenyewe kuchangia ili kuweza kuiboresha service.

Ungeulizia jinsi gani unaweza kulisaidia gazeti kiuchumi au kutaka kujua sababu inayolifanya gazeti lisiwe online on time ningekuona wa maana, lakini wewe unademand excellent service bila kulipia, arrogant freeloading.
 
Pundit.. tatizo la sisi tunaokaa nje au ambao tumekuwa exposed na affluence ya magharibi we have started to create this "instant mentality" where by one pushes a button na kitu hicho! unabonyeza namba mbili tatu, hela inachomoka, unaingiza hela hapa pale kopo la soda linatoka.

Hivyo tumefikia mahali hata kwenye kubadilisha oil ya gari huhitaji hata kutoka unaenda drive through wanakubadilisha oil na filter wewe unapiga soga unalipa unachomoka zako.

Sasa maisha haya ya nchi zilizoendelea ambazo ziko kwenye tier one zinatufanya na sisi kwa namna fulani tuamini kuwa Tanzania iko kwenye kundi hilo kwa sababu sisi Watanzania tunaoishi nchi za magharibi tunaenjoy maisha hayo.

Sasa leo ukitaka habari unaingia drudge report unaipata kabla haijafika CNN au FoxNews; ukitaka kujua maendeleo ya habari yoyote una "click" hapa na pale na habari inatokea and sometimes you can follow the news live as it is happening. Tunadhani Tanzania nako iko hivyo.

Tumesahau kuwa sisi tuko kwenye bottomo of the bottom tier! Sasa anapokuja mtu na gazeti au chombo chake habari na kuanza kuleta habari kwa haraka basi tunatarajia iwe kama au inakaribiana na "instant lifestyle" tuliyoizoea ambayo neno subira halipo. I wan't it, and I want it now!

Hivyo basi tunajikuta tunajiandaa kwa frustrations and disappointment. Kama ulivyosema, hivi haya magazeti yanapopokea matangazo ya intaneti ni kweli yanalipa kiasi cha kufanya wategemee matangazo hayo na si mauzo? NI makampuni mangapi ambayo yanatangaza kwenye intaneti Tanzania na ambayo yanaingiza biashara? Kutangaza kwenye intaneti kunapresume kuwa watu wengi (your target market) wana access ya hiyo intaneti. Vipi kama unatangaza lakini hilo tangazo halirudishi wateja?

NI kwa sababu hiyo basi magazeti kama Tanzania Daima na Raia Mwema na MwanaHalisi ambayo yanategemea zaidi mauzo kuliko matangazo ya biashara yanajikuta yanabadili mkakati wa kupata fedha na siyo suala la uzembe.

Hakuna kitu cha dezo na mambo ya ujamaa yalipita zamani. Tunaishi katika nchi ya kibepari na katika mfumo huu wa kibepari kinachopendwa na maximization of profit and individual success. Kama kuwahisha gazeti online kunapunguza mauzo ya magazeti mitaani what do you do? The answer is very clear.

Ndipo hapo tunaingia sisi wengine ambao tunajaribu kutengeneza mtandao wa habari kuweza kuleta habari za leo leo hii, na habari za sasa sasa. Guess what?

Do we get support? no.. watu wanataka dezo. Tunajaribu kuweka mtandao wa kutuletea habari kwa kadiri zinavyotokea lakini hao waleta habari wafanye kwa dezo kama kutoa sadaka kanisani? Linapotokea tukio mahali waende kwa nauli ya nani na watakapopata mahali pa kutumia intaneti cafe walipie kwa fedha zipi?

Hii ni changamoto kubwa kweli ya habari Tanzania na ndio maana kati ya vitu ambavyo kwa upande wangu ninajaribu kufanya ni kuunganisha nguvu za wale walioko nyumbani na sisi ambao tunaishi kwenye instant culture. Bado ni vigumu sana, so friends, cut them some slack otherwise.... anzisheni na nyie vyombo vyenu vitakavyoweza kufanya kazi kwa kujitolea kuleta habari 24 hours, no delay, no complains and see how easy it is.

M. M.
 
Kwa bahati mbaya unaonge na a mtu anayeyafahamu haya mambo ndani nje... mfano wa kuwa makini at least na kujali wateja huu hapa

Na wewe unajihesabu mteja? Unajua maana ya mteja?
 
Na wewe unajihesabu mteja? Unajua maana ya mteja?

Pundit;

kwi kwi kwi.

Kama mambo kama haya unayafahamu!!! then for sure sio mimi tu bali hata mtoto tutakaye pata wiki ijayo atakuwa ni potential customer wa Tanzania Daima. (hope these send 2u a strong msg about customer care)


Hivi Tanzania Daima wana sehemu ya ku-subscribe na sisi tukaacha kujiunga nao?
 
Pundit.. tatizo la sisi tunaokaa nje au ambao tumekuwa exposed na affluence ya magharibi we have started to create this "instant mentality" where by one pushes a button na kitu hicho! unabonyeza namba mbili tatu, hela inachomoka, unaingiza hela hapa pale kopo la soda linatoka.

Hivyo tumefikia mahali hata kwenye kubadilisha oil ya gari huhitaji hata kutoka unaenda drive through wanakubadilisha oil na filter wewe unapiga soga unalipa unachomoka zako.

Sasa maisha haya ya nchi zilizoendelea ambazo ziko kwenye tier one zinatufanya na sisi kwa namna fulani tuamini kuwa Tanzania iko kwenye kundi hilo kwa sababu sisi Watanzania tunaoishi nchi za magharibi tunaenjoy maisha hayo.

Sasa leo ukitaka habari unaingia drudge report unaipata kabla haijafika CNN au FoxNews; ukitaka kujua maendeleo ya habari yoyote una "click" hapa na pale na habari inatokea and sometimes you can follow the news live as it is happening. Tunadhani Tanzania nako iko hivyo.

Tumesahau kuwa sisi tuko kwenye bottomo of the bottom tier! Sasa anapokuja mtu na gazeti au chombo chake habari na kuanza kuleta habari kwa haraka basi tunatarajia iwe kama au inakaribiana na "instant lifestyle" tuliyoizoea ambayo neno subira halipo. I wan't it, and I want it now!

Hivyo basi tunajikuta tunajiandaa kwa frustrations and disappointment. Kama ulivyosema, hivi haya magazeti yanapopokea matangazo ya intaneti ni kweli yanalipa kiasi cha kufanya wategemee matangazo hayo na si mauzo? NI makampuni mangapi ambayo yanatangaza kwenye intaneti Tanzania na ambayo yanaingiza biashara? Kutangaza kwenye intaneti kunapresume kuwa watu wengi (your target market) wana access ya hiyo intaneti. Vipi kama unatangaza lakini hilo tangazo halirudishi wateja?

NI kwa sababu hiyo basi magazeti kama Tanzania Daima na Raia Mwema na MwanaHalisi ambayo yanategemea zaidi mauzo kuliko matangazo ya biashara yanajikuta yanabadili mkakati wa kupata fedha na siyo suala la uzembe.

Hakuna kitu cha dezo na mambo ya ujamaa yalipita zamani. Tunaishi katika nchi ya kibepari na katika mfumo huu wa kibepari kinachopendwa na maximization of profit and individual success. Kama kuwahisha gazeti online kunapunguza mauzo ya magazeti mitaani what do you do? The answer is very clear.


Ndipo hapo tunaingia sisi wengine ambao tunajaribu kutengeneza mtandao wa habari kuweza kuleta habari za leo leo hii, na habari za sasa sasa. Guess what?

Do we get support? no.. watu wanataka dezo. Tunajaribu kuweka mtandao wa kutuletea habari kwa kadiri zinavyotokea lakini hao waleta habari wafanye kwa dezo kama kutoa sadaka kanisani? Linapotokea tukio mahali waende kwa nauli ya nani na watakapopata mahali pa kutumia intaneti cafe walipie kwa fedha zipi?

Hii ni changamoto kubwa kweli ya habari Tanzania na ndio maana kati ya vitu ambavyo kwa upande wangu ninajaribu kufanya ni kuunganisha nguvu za wale walioko nyumbani na sisi ambao tunaishi kwenye instant culture. Bado ni vigumu sana, so friends, cut them some slack otherwise.... anzisheni na nyie vyombo vyenu vitakavyoweza kufanya kazi kwa kujitolea kuleta habari 24 hours, no delay, no complains and see how easy it is.

M. M.

Kasheshe,

Nikisema mimi labda nitaspeculate,

Huyo hapo mtu mwenye connections na magazeti hayo anakwambia wakiwahisha magazeti online kuna hatari print edition ambayo ndiyo chanzo chao kikubwa cha mapato hayatauzika sana.Kitu kile kile nilichokuambia.It all boils down to uchumi na finances.Kwa hiyo tunarudi pale pale, kama huna subscription service shukuru unachopata na huwezi kuwa na stupid arrogance ya ku demand better service.

Nakumbuka Mwanakijiji huwa anaandika articles fulani za kutoa magazetini, anakuwa nazo lakini hawezi kuzitoa hapa JF, kwa sababu ianbidi ziuzike katika gazeti kwanza.

Unakuwa kama ile story ya mchizi aliyekuwa anaiba cable, akapata matatizo katika picture quality, sasa kashazoea dezo akajikuta kasahau kwamba anaiba cable, akapiga simu Cable company anawafokea kuhusu uhafifu wa picha, jamaa wakamuuliza kwani wewe nani, tupe jina na anwani yako tuangalie rekodi zako, jamaa ilibidi ajiume ulimi na kukata simu.

Gazeti lilikwambia kwani wewe nani utawajibu vipi? Una subscription plan au?

If you really care about the issues, show love, show support, contribute, ask how you can help better the situation, volunteer, don't just rant like some ungrateful brat.
 
Pundit;

kwi kwi kwi.

Kama mambo kama haya unayafahamu!!! then for sure sio mimi tu bali hata mtoto tutakaye pata wiki ijayo atakuwa ni potential customer wa Tanzania Daima. (hope these send 2u a strong msg about customer care)


Hivi Tanzania Daima wana sehemu ya ku-subscribe na sisi tukaacha kujiunga nao?


Now you are talking like a sane man. Waandikie baruapepe, waeleze unavyopenda habari zao lakini kutoridhishwa kwako na punctuality, wape assurance kama issue ni finances unaweza ku mobilize support ya subscription plan itakayo offset gharama zao na kutranslate into a reasonable profit.

Then hiyo system ikianza halafu watu wakawa wanalipia, halafu wasipokuwa punctual, wanaolipia (wanaolipia tu) watakuwa na haki ya kusema.Hapo utaweza kuji identify kama "Mteja"

Otherwise longolongo tu.
 
Back
Top Bottom