Tanzania Daima imemezwa na mafisadi?

NI kwa sababu hiyo basi magazeti kama Tanzania Daima na Raia Mwema na MwanaHalisi ambayo yanategemea zaidi mauzo kuliko matangazo ya biashara yanajikuta yanabadili mkakati wa kupata fedha na siyo suala la uzembe.
Mkuu, sababu ya mimi kuulizia hili ndo hiyo...nilipenda nijua..na possibly wengine wajue..je ni mkakati wa kuongeza mauzo? uhuru wa kupata habari huo....sidhani kama kuna ubaya walau tukajua kuwa sasa wamebadili mbinu..ili nijue kuwa nikitaka kusoma Tanzania Daima, nalipata muda gani kwenye mtandao!

Unazungumzia waliopo nchi zilizoendelea....well,, walioko huko hawana uwezo wa kupata hard copies otherwise sidhani kama ingekuwa tatizo kununua mkuu!




Hakuna kitu cha dezo na mambo ya ujamaa yalipita zamani. Tunaishi katika nchi ya kibepari na katika mfumo huu wa kibepari kinachopendwa na maximization of profit and individual success. Kama kuwahisha gazeti online kunapunguza mauzo ya magazeti mitaani what do you do? The answer is very clear.

Mkuu mi nadhani hapa tukiingiza suala la 'udezo' tutafika siko....kama nilivosema....I just want to know if that is the case..na sio suala la dezo...mfano hapa JF..watu wanakuja wanatoa mawazo maoni hoja etc...wanalipia? hawalipii..guess what? ni kwa namna gani JF imechangia kubadili hali ya mambo hususan ufisadi nyumbani? hata msomaji ambaye si mchangiaji, anabadilika kifikra kwa kusoma hapa JF...na nikikunukuu msemo wako mahiri wa 'mapambano ya kifikra....ndipo tunapotegemea ushindi zaidi..wa kifikra.

kwangu mimi gazeti kama Tanzania daima ni sehemu ya mapambano hayo! kama linasomwa na watu wengi, the better..manake ujumbe unakuwa unafika...sasa ukisema ni suala la kuzoea 'dezo' mkuu that sounds a bit offensive!


Ndipo hapo tunaingia sisi wengine ambao tunajaribu kutengeneza mtandao wa habari kuweza kuleta habari za leo leo hii, na habari za sasa sasa. Guess what?

Do we get support? no.. watu wanataka dezo. Tunajaribu kuweka mtandao wa kutuletea habari kwa kadiri zinavyotokea lakini hao waleta habari wafanye kwa dezo kama kutoa sadaka kanisani? Linapotokea tukio mahali waende kwa nauli ya nani na watakapopata mahali pa kutumia intaneti cafe walipie kwa fedha zipi?

anzisheni na nyie vyombo vyenu vitakavyoweza kufanya kazi kwa kujitolea kuleta habari 24 hours, no delay, no complains and see how easy it is.



Na suluhisho sio 'kuanzisha vyombo vyetu' vya kujitolea...ukweli ni kuwa unapoingia kwenye biashara, iwe ya habari au nini. lazima uangalie hali ya soko kama je, unaweza kuhimili mikikimikiki ya ushindani? kwa sababu sasa hivi vyombo vya habari ni vingi na kila kimoja kinatafuta nafasi kwneye soko....so kwa sisi hatuwezi kuingia huko...lakini wapo wanaoweza kuingia huko na kutupa habari!
 
Now you are talking like a sane man. Waandikie baruapepe, waeleze unavyopenda habari zao lakini kutoridhishwa kwako na punctuality, wape assurance kama issue ni finances unaweza ku mobilize support ya subscription plan itakayo offset gharama zao na kutranslate into a reasonable profit.

Then hiyo system ikianza halafu watu wakawa wanalipia, halafu wasipokuwa punctual, wanaolipia (wanaolipia tu) watakuwa na haki ya kusema.Hapo utaweza kuji identify kama "Mteja"
Otherwise longolongo tu.

Tunachotofautiana hapa:

Ni kufikiria Kijima Against Kufikiria Kisasa...

Kijima: Unafikiria Jana na Leo nukta.

Kisasa: Unafikiria vyote hapo juu na vya baadaye. Juzi, jana, leo na Kesho.

Kwa wewe neno mteja linamaanisha client! (ndio maana umenitoa kuwa mteja wa Tanzania Daima na kuita napiga longo longo, kwa mtizamo wako you are very right bro)

Kwangu mimi neno mteja linamaanisha (client, customer and potential customer)

Kama uko majuu fikiria kama wao basi, sio kama sisi wa mwanakwerekwe...

kwi kwi kwi: THINK BIG bro!!!
 
halafu msisahau na masuala kama vile ukataji umeme nk


Hilo halina tatizo waridi, lakini siamini kwua umeme unakatwa Tanzania Daima tu tena kila siku..kwa hiyo kuna zaidi ya umeme

Kuna watu kama Mwanakijiji wanasuggest kuwa hilo linatokana na mkakati wa kibiashara..kuwa kwa wao mauzo ya print ndo msingi wao mkubwa so inabidi 'waminye' kwanza kutoa online...sina tatizo na hilo na ndio maana nikaulizaa kuwa tatizo ni nini hasa....
 
Mkuu, sababu ya mimi kuulizia hili ndo hiyo...nilipenda nijua..na possibly wengine wajue..je ni mkakati wa kuongeza mauzo? uhuru wa kupata habari huo....sidhani kama kuna ubaya walau tukajua kuwa sasa wamebadili mbinu..ili nijue kuwa nikitaka kusoma Tanzania Daima, nalipata muda gani kwenye mtandao!

Nimekupata, katika majibu yangu nilikuwa sijibu hoja yako ya awali moja kwa moja bali nilikuwa najibu kwa upana nikichukulia na mawazo ya Kasheshe na Pundit pia. Wewe kutaka kujua sababu ni jambo zuri na la kiungwana kulikuo kuassume kuwa ni "uzembe" kama alivyofanya Kasheshe.

Unazungumzia waliopo nchi zilizoendelea....well,, walioko huko hawana uwezo wa kupata hard copies otherwise sidhani kama ingekuwa tatizo kununua mkuu!

Believe me.. don't bet on that... Ni rahisi zaidi kudandia gazeti lililonunuliwa na mwingine kuliko mtu kununua lake mwenyewe. Kuna watu ambao sidhani kama watanunua hata kama gazeti linauzwa at minimum.


Mkuu mi nadhani hapa tukiingiza suala la 'udezo' tutafika siko....kama nilivosema....I just want to know if that is the case..na sio suala la dezo...

Nimekupata.. angalia jibu langu la kwanza hapo juu. Kuna watu ambao vya dezo vinavutia zaidi hata kama vina thamani sana. Lakini ukiweza fedha tu wanakimbia...

mfano hapa JF..watu wanakuja wanatoa mawazo maoni hoja etc...wanalipia? hawalipii..guess what? ni kwa namna gani JF imechangia kubadili hali ya mambo hususan ufisadi nyumbani? hata msomaji ambaye si mchangiaji, anabadilika kifikra kwa kusoma hapa JF...na nikikunukuu msemo wako mahiri wa 'mapambano ya kifikra....ndipo tunapotegemea ushindi zaidi..wa kifikra.

good you mentioned JF.. hivi unafikiri ikitokea kuwa JF ni by subscription unafikiri ni watu wangapi watakuwa tayari kulipia? Kati ya memba 5000 wangapi watakuwa tayari kufanya hivyo ambao tayari wamezoea kupata vya dezo (ingawa si dezo kweli kwani kuna watu wanalipia iende mbele).

Kwa mfano tufanye JF unaweza kuona ukurasa wa mbele tu lakini ukianza kuingia kwenye mada lazima uwe memba aliyelipia... utasikia malalamiko ya "sisi wanafunzi"... !

kwangu mimi gazeti kama Tanzania daima ni sehemu ya mapambano hayo! kama linasomwa na watu wengi, the better..manake ujumbe unakuwa unafika...sasa ukisema ni suala la kuzoea 'dezo' mkuu that sounds a bit offensive!

It is not my intention to offend you.. but the truth need to be told.. kuna watu ambao wamezoea vya kunyonga vya kuchinja hawaviwezi. Ni rahisi kulalamikia gazeti tunalolipata kwa bure kuliko kulalamika gazeti unaloligharimia. My worry is a sense of entitlement kwamba kwa vile sisi ndiyo wasomaji so we have to have what we want and now! Katika original posting umesema hivi:

Yote kwa yote, wanapaswa waelewa kuwa wana wasomaji wengi sana online na kuchelewa kutoka mtandaoni, wataanza kutupoteza taratibu

Hii kwangu ni kama katishio ka aina fulani kuwa wakichelewesha kutoka mtandaoni sisi wasomaji "wataanza kutupoteza taratibu" so bora waje na maelezo vinginevyo tutaenda kwenye vyombo vingine ambavyo vinatuletea habari wakati tunaotaka.

Na suluhisho sio 'kuanzisha vyombo vyetu' vya kujitolea...ukweli ni kuwa unapoingia kwenye biashara, iwe ya habari au nini. lazima uangalie hali ya soko kama je, unaweza kuhimili mikikimikiki ya ushindani? kwa sababu sasa hivi vyombo vya habari ni vingi na kila kimoja kinatafuta nafasi kwneye soko....so kwa sisi hatuwezi kuingia huko...lakini wapo wanaoweza kuingia huko na kutupa habari!

sasa wale wanaoingia kwenye biashara hiyo lazima pia waeleweke badala ya kubebeshwa lawama au kuonekana hawawajali "wateja" (of course wateja wasiolipia chochote).

Hilo halina tatizo waridi, lakini siamini kwua umeme unakatwa Tanzania Daima tu tena kila siku..kwa hiyo kuna zaidi ya umeme

Kuna watu kama Mwanakijiji wanasuggest kuwa hilo linatokana na mkakati wa kibiashara..kuwa kwa wao mauzo ya print ndo msingi wao mkubwa so inabidi 'waminye' kwanza kutoa online...sina tatizo na hilo na ndio maana nikaulizaa kuwa tatizo ni nini hasa....

mzee siyo kwamba na suspect; kwa vile siyo msemaji rasmi lakini nikiwa miongoni mwa waandishi wa gazeti hilo na mimi niliuliza swali hili hili over a week ago baada ya makala fulani kuchelewesha ndiyo jibu nililopatiwa. Ni uamuzi ambao umechukuliwa kati ya Raia Mwema na Tanzania Daima na hata MwanaHalisi. Vinginevyo kwa kadiri watu wanavyozidi kuongezeka wanaotumia intaneti nyumbani, basi magazeti yatakuwa yanayeza kupunguza mauzo.

Kimsingi hizi electronic editions za magazeti ni kwa ajili ya sisi hasa wa nje siyo wa ndani.
 
Kuna watu kama Mwanakijiji wanasuggest kuwa hilo linatokana na mkakati wa kibiashara..kuwa kwa wao mauzo ya print ndo msingi wao mkubwa so inabidi 'waminye' kwanza kutoa online...sina tatizo na hilo na ndio maana nikaulizaa kuwa tatizo ni nini hasa....

Imagine what?

I don't even buy this; Tanzania Daima halikuwa gazeti la kwanza kwenda mtandaoni... kwa hakika walitakuwa kufanya research kabla ya kuingia mtandaoni...

IPP walikuwepo na wanaendelea wanachofanya ni kwamba taarifa za gazeti linatolewa say saa tano asubuhi wakati magazeti 80% yameshasambazwa.. tungepata at least same service kutoka Tanzania Daima tusingesema lolote... lakini olaaa!!! kwa siku mbili tatu... No way... uzembeeee!!!! au ufisadi ini another face.
 
Hapa tutapata watu wasioacha hela ya chakula nyumbani kwa spouses wao wasio na kazi za nje ya nyumba lakini watarudi nyumbani na kudai chakula kizuri sana, wasipopata wataanza kumtukana na hata kumpiga the said spouse.

Si mambo ya excellence bwana? By any means.

Kesho yake utaletewa "excellence" feki ya chakula kizuri kilichotokana na jirani yako "kumhudumia" katika kila nyanja spouse wako, we utafurahia "excellence" ya chakula kizuri usichojua kimetoka wapi.

In this case, tukitaka excellence tusiyoijua inatoka wapi magazeti haya haya yanaweza kukinga mkono kwa mafisadi hao hao na kupata mkwanja na kuanza kupindisha habari.Sie tunakenua na kuchekelea "excellence" ya dezo.

Dezo inaua.
 
Imagine what?

I don't even buy this; Tanzania Daima halikuwa gazeti la kwanza kwenda mtandaoni... kwa hakika walitakuwa kufanya research kabla ya kuingia mtandaoni...

IPP walikuwepo na wanaendelea wanachofanya ni kwamba taarifa za gazeti linatolewa say saa tano asubuhi wakati magazeti 80% yameshasambazwa.. tungepata at least same service kutoka Tanzania Daima tusingesema lolote... lakini olaaa!!! kwa siku mbili tatu... No way... uzembeeee!!!! au ufisadi ini another face.


Unafanay comparizon ya magazeti ya IPPMedia which is a subsidiary ya IPP Group of companies na vigazeti vinavyojitutumua ndiyo kwanza vimeanzishwa sasa? Unaona hiyo comparison sawa kabisa? Unajua assets, coonections na miaka ya entities hizi mbili zilivyo tofauti kabisa? Unajua busines models zao zilivyo tofauti kutokana na utofauti wa hapo juu?

Huwezi kulinganisha vitu viwili tofauti.
 
Imagine what?

I don't even buy this; Tanzania Daima halikuwa gazeti la kwanza kwenda mtandaoni... kwa hakika walitakuwa kufanya research kabla ya kuingia mtandaoni...

IPP walikuwepo na wanaendelea wanachofanya ni kwamba taarifa za gazeti linatolewa say saa tano asubuhi wakati magazeti 80% yameshasambazwa.. tungepata at least same service kutoka Tanzania Daima tusingesema lolote... lakini olaaa!!! kwa siku mbili tatu... No way... uzembeeee!!!! au ufisadi ini another face.

yaani you are entitled to this because..??
 
mzee siyo kwamba na suspect; kwa vile siyo msemaji rasmi lakini nikiwa miongoni mwa waandishi wa gazeti hilo na mimi niliuliza swali hili hili over a week ago baada ya makala fulani kuchelewesha ndiyo jibu nililopatiwa. Ni uamuzi ambao umechukuliwa kati ya Raia Mwema na Tanzania Daima na hata MwanaHalisi. Vinginevyo kwa kadiri watu wanavyozidi kuongezeka wanaotumia intaneti nyumbani, basi magazeti yatakuwa yanayeza kupunguza mauzo.

Kimsingi hizi electronic editions za magazeti ni kwa ajili ya sisi hasa wa nje siyo wa ndani.

Mzee Mwanakijiji hii posting imesummarize all...and in fact thats what I wanted to know...then sina tatizo...kumbe walau wewe kama mdau ulishachukua hatua mapema kuulizia kuna nini...na jibu umelipata...sasa nadhani hata wengine wanaweza pia kufaidika kwa hili jibu mkuu nikiwemo mimi!
 
Mzee Mwanakijiji hii posting imesummarize all...and in fact thats what I wanted to know...then sina tatizo...kumbe walau wewe kama mdau ulishachukua hatua mapema kuulizia kuna nini...na jibu umelipata...sasa nadhani hata wengine wanaweza pia kufaidika kwa hili jibu mkuu nikiwemo mimi!

Nimefuatilia tena mtiririko nikaona mtoa maada Mzee NT mwenyewe umekuja vizuri tu katika kuuliza.Ila brother Kasheshe akaja na Kasheshe zake za kujisikia yuko entitled kupata service nzuri ambayo hata hajui inalipiwaje.

Kwa hiyo wewe mimi nakuelewa, ila hata baada ya watu kueleza sababu ambayo mimi tangu mwanzo bila ya kuambiwa na Mwanakijiji nilikuwa na hunch hiyo, akaja Mzee wa kijijini ku confirm hapa, watu bado wana audacity ya ku rant na kutoa comparison na IPPMedia and all.

Ndipo hapo utakapoambiwa nenda wewe ukaanzishe basi ufanye charity work uone utamu wa kulamba kisu kwenye makali.
 
Wana JF waliobahatika kuona gazeti la leo la Tanzania Daima watagundua kuwa si lingine bali ni lile la jana isipokuwa wametoa picha ya balozi wa uingereza Tz na kuweka picha kuhusu kifo cha Balali. Inawezekana wana lao jambo, lakini ni sawa kufanyiwa hivi kwa mia 3 zetu tulizozipata kwa jasho? Naomba tujadili
 
Hata mimi tangu jana nilishitukia nikiwa na nakala ya Tanzania Daima yenye kichwa cha habari Ballali afariki nilishangaa katika mtandao taarifa za kufariki Ballali hakuna isipokuwa habari zingine za gazeti hili zilikuwepo. Sasa leo wamefanya timbwili timbwili nyingine, jamani msituvurugie system zetu za maisha, be up to date.
 
Unajua hii website ya hawa Tanzania Daima sijui iwa ina matatizo kwani utakuta kuna kipindi ukifungua unapata habari za jana yake....tunawaomba wajaribu ku up date mambo yao faster wanatukosesha habari..
 
gazeti la jana la mtanzania daima halikuwa na habari za ballali(lilie lilokuwa mtaani), lakini kwenye web site yao kulikuwa na gazeti tofauti na lilokuwa mtaani, huenda walipata hizi habari late wakaamua kutoa toleo kwa dsm peke yake na kwenye mtandao, lakini nililosoma hapa moshi ni tofauti
 
Mpiga filimbi,

karibu jamvini ila usipande na viatu mkuu, hapa ndipo chuo cha ukakamavu, mguu pande, mguu sawa, hadi utatia akili mkuu, panapendeza sana kama utakuwa na hoja nzuri basi filimbi yako utaipuliza hadi mitima yetu itatukaa sawa, karibu mkuu.

Kwani kuna tatizo Mkuu? huenda wameona kuna kila sababu za kudurusu tena hapohapo.
 
Nalipenda sana gazeti la Tanzania daima, tatizo lake haliwi updated, kwa mfano leo bado linaonyesha kuwa ni Jumatano.
 
Wengi kati watz wanaoishi nje hutegemea net kuapata habari za magazeti. ukifungua www.freemedia.co.tz/daima ukiwa nje ya tz huapti connection. au tz daima imemezwa na mafisadi? inatoa habari local tu au ndio inaanza kufa?
 
Back
Top Bottom