koyola
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 2,645
- 1,747
Adui mkuu wa Tanzania ni Ufusadi ingekua kila mtu anauchukia ufisadi basi tungefika pazuri. Hii kansa ya ufusadi sio vyama ni hulka ya watu.ingekua watu wanafuata maadali ya uongozi na kilichopangwa kinafanywa basi uadui wa mtanzania ungekua mdogo sana