Nimetoa taarifa, mwendesha mashtaka akasema kwa mtu mzima kama yule msako rasmi huanza baada baada ya miezi mitano na kabla ya miezi sita. Anaweza kuwa kapotea kwa hiari wanachozuia ni huko alikoenda isije tambuliwa kama ni ndoa halali maana kwa sheria za Tanzania mkiishi kwa miezi sita mnatambuliwa kama wanandoa
Ila kuna shoga angu kasema nimpe wiki moja amalizie shughuli zake anipeleke Sumbawanga
Nachukua fursa hii, kutoa shukrani zangu za dhati kwa waliofanikisha mpotevu kurudi.
Japo hajaripoti nyumbani rasmi yuko anazunguka zunguka kwa marafiki zake, bado shukrani hizi ziwafikie.
Sherehe rasmi ya kumpokea itakuwa ghorofani, TF anza maandalizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.