Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,929
Ur not siriac!!!Muhimu au sio...
Broda na ww ni mwanachama wa hiyo kitu????!!!!
Ur not siriac!!!Muhimu au sio...
Your my only Big Broda!
Babu hata sijamuona sijui yuko wapi!
Si unajua mambo ya mwisho wa mwezi sitashangaa nikisikia ameshaanza wiki end!!!
Ur not siriac!!!
Broda na ww ni mwanachama wa hiyo kitu????!!!!
Hebu mcheki Jukwaa la mwisho chini kabisa nasikia siku chache zilizopita alikuwa ameweka kambi huko...lol
Haa haaa haa,nilifikiri ni kwangu tumkumbe hata kwako!!ataanza vipi weekend bila mjukuu wake Canta? afu mwisho wa mwezi huu hata haueleweki:A S embarassed::hatari:
Czile semina za mheshimiwa The Boss za namna ya kuhandle small hauc!!Kitu gan tena Canta.....
Haa haaa haa,nilifikiri ni kwangu tumkumbe hata kwako!!
Babu ODM ana lundo la wajukuu,kila kona,
Chezea babu,tupo wengi Broda!!!
Czile semina za mheshimiwa The Boss za namna ya kuhandle small hauc!!
Najua watu wamezimiss si unajua mwisho wa mwezi wanatakiwa kukumbushwa zile RULES wasije wakaharibu na kushindwa kufanya mgawanyo vizuriu wa pato la mwezi!!!!
Naskia huyu karudi basi moja na Gaijin
au TB alishuka kuchimba dawa wakamwacha?
Maana naye mtukutu kiaina
Haaa haaa,ngoja nimtafute,....lakini hata kama ana lundo, anakuwepo mmoja tu wa kumpelekea ugoro....dah:A S-rap::thinking::angry:
Umesomeka Broda,aah.zile mbona watu walishasave na kuprint...sa ivi full kuhandle with care...thats all what is needed....umenisoma eeh oa
Haaa haaa,
Huwa anafanya selekshen kwa "ana ana ana do"!!!
Leo haijaniangukia mie!!!!
Umesomeka Broda,
Najua ww ni shabiki tu na sio mwanachama,
Au nimekosea?
Here i am Big broda!!njoo kwa kakako huku sasa....wewe sio wa kusubiri ana ana ana do bana....:A S-coffee:
Amen,apo umenena vema, enenda zako kwa amani....