Tangazo la kupotelewa!

Kongosho

JF-Expert Member
Mar 21, 2011
35,999
24,163
Natangaza kupotelewa na memba mmoja mwenye ID aina ya The Boss. Mara ya mwisho alionekana maeneo ya Siasa, Chit Chat na MMU na walikuwa karibu na kijana mwingine wa mtaani jina bado linahifadhiwa kwa sababu za kiuchunguzi.

Mara ya mwisho alikuwa kavaa pensi ya njano, fulana ya blue na yeboyebo za pink.

Zawadi nono itatolewa kwa yeyote atakaye fanikisha upatikanaji wake.

Asanteni!
 
Hebu mcheki Jukwaa la mwisho chini kabisa nasikia siku chache zilizopita alikuwa ameweka kambi huko...lol
 
Nikipiga simu yake inaniambia " Mwenye simu hii hapatikani, hadi MMU itaporuhusu nyumba ndogo kikatiba''

Hebu mcheki Jukwaa la mwisho chini kabisa nasikia siku chache zilizopita alikuwa ameweka kambi huko...lol
 
Natangaza kupotelewa na memba mmoja mwenye ID aina ya The Boss. Mara ya mwisho alionekana maeneo ya Siasa, Chit Chat na MMU na walikuwa karibu na kijana mwingine wa mtaani jina bado linahifadhiwa kwa sababu za kiuchunguzi.

Mara ya mwisho alikuwa kavaa pensi ya njano, fulana ya blue na yeboyebo za pink.

Zawadi nono itatolewa kwa yeyote atakaye fanikisha upatikanaji wake.

Asanteni!

Na AshaDii pia sijamuona kitambo humu...usikute wapo pamoja!:lol::lol::lol:
 
Natangaza kupotelewa na memba mmoja mwenye ID aina ya The Boss. Mara ya mwisho alionekana maeneo ya Siasa, Chit Chat na MMU na walikuwa karibu na kijana mwingine wa mtaani jina bado linahifadhiwa kwa sababu za kiuchunguzi.

Mara ya mwisho alikuwa kavaa pensi ya njano, fulana ya blue na yeboyebo za pink.

Zawadi nono itatolewa kwa yeyote atakaye fanikisha upatikanaji wake.

Asanteni!
Kwa taarifa za kiinterejensia alionekana ana ID mbili moja The Boss yapili Kongosho ila kwa mavazi nikama upinde wamvua anabadirika kama kinyonga ohoooo sorry Siyo Kongosho ni naniriyuu nanini...........???????
 
Maneno na moyo jamani.

Kwa taarifa za kiinterejensia alionekana ana ID mbili moja The Boss yapili Kongosho ila kwa mavazi nikama upinde wamvua anabadirika kama kinyonga ohoooo sorry Siyo Kongosho ni naniriyuu nanini...........???????
 
Kuna mpwa wangu alienda kujifungua sijui alifikishwa salama na Ambulence maana alitoka hapa tupo liko kwenye meno analia mtoto anataka kutoka sasa sijui na sema sijui huyu kama alifika salama maana hizi hospitali zetu za wilaya na ambulance ni bajaji natia shaka!!Nani mwenye taarifa za mpwa wangu huyu mwenye jina DASOPHY???
 
Back
Top Bottom