Tangazo la ajira Jeshi la Polisi 2014/2015

Naomba kujua: hivi waliomaliza chuo mwaka wa masomo 2013/14 tayari washapata vyeti?
 
Mi nataka jeshini,huku polisi mambo ya kulazimishana kuchomeka huku kanda kiunoni kila siku sitayaweza
 
Asile rushwa ataishi wapi na wanavyopenda pombe

Sekta zinazoongoza kwa rushwa ni pamoja na polisi (94%), siasa (91%), afya (82%), kodi (80%) , ardhi (79%), elimu (70%), Serikali za mitaa (68%) na maji (56%). Hii ni kulingana na utafiti mpya.

Kazi kwenu!
 
mkuu lazima uende lindo kwanza hata kama una degree then ndo upendekezwe kwenda kuchukua nyota kurasini after three years.

vijana fursa hizo

nimeachana na mtu,ninaempenda sababu ya lindo/doria
........
Yaaani asubuhi hadi saa saba mchana kazini km kawa,hasa huenda mahakaman,eti anapewa mahabusu awapeleke mahakaman.
Halafu saa kumi na mbili jioni anaenda doria hadi saa sita za usiku,ndio maisha yake kila siku likizo ni baada ya miaka mitatu.
Nimeachia ngoma ichezwe na wengine
 
kazi hizi ni za wale kiba furani furani huwezi ka shule mda wote alafu uje tii amri ya mkuu wa wilaya, mkoa., mbunge ambao wamewekwa tu kiuahukaji n ukimuuzi anakufukuza kazi kisa mbagombea mke shasema mwanangu hatakuja kuwa askari labda aishie darasa la saba.
 
nimeachana na mtu,ninaempenda sababu ya lindo/doria
........
Yaaani asubuhi hadi saa saba mchana kazini km kawa,hasa huenda mahakaman,eti anapewa mahabusu awapeleke mahakaman.
Halafu saa kumi na mbili jioni anaenda doria hadi saa sita za usiku,ndio maisha yake kila siku likizo ni baada ya miaka mitatu.
Nimeachia ngoma ichezwe na wengine

Kazi za majeshi kungangamara! Ila hapo tu ndo hata mimi huwa nachoka.

Ila no sweat binadamu is the most adaptable creature wataadapt tu mbona Kova hataki hata kulala, kazoea kukesha na kulala nje!
 
Potoshaneni...wengi husema hivo but ushahidi hawana, akiingia huku ukimuuliza vipi unasemaje kuhusu jeshi la polisi, utasikia "aah nilikuwa nasikia mengi kumbe daah ni hulka yamtu binafsi"
I declare interest..binafsi niaskari but sijawahi kupokea rushwa (maana baadhi ya askari haombi rushwa..hupokea). Nipo ofisini nafanya sehem yajukumu langu narudi kwangu. Nmefanya pia kazi za kusimama point na kuznguka na pikipiki...kupokea rushwa ni hulka ya mtu mmoja mmoja sio woote, kama ilivyo sekta zingine kama ardhi na nyumba,mahakama,ugavi,tra au bandari, kuna rushwa kubwa
mmno huko. Over!

Hongera sana kaka Polisi huu pia kwa sisi raia tunaita uaskari kusimamia na kutetea unachokiamini. Umetangaza hadharani kwamba wewe ni polisi na hauchukui rushwa full stop.

Naamini maana kuna afande mmoja alishanihudumia kwa ukarimu na unyenyekevu wa hali ya juu in a way inanifanya niamini modern polisi wapo hata hapa hapa bongo.

Asante!
 
jamani lini nitapata kazi? eti umri 25!mie 40 au ndo basi?.kuweka kigezo cha umri sio kuvunja katiba ya nchi?
 
Ahsante humble african...angalau umenielewa. Mm sikatai kuwq polisi ni wala rushwa, ninachosisitiza ni watu kugeneralize askari wooote...waseme baadhi ya maofisa wa polisi niwala rushwa,kama ilivyo kwa maofisa wengine kama bile TRA,bandari,ardhi,mahakama,madaktari,etc. Kinachofanya polisi waonekane hula rushwa ni sababu tu asilimia kubwa ya kazi zetu ni za show off kwa raia,tunatenda kazi machoni pa watu...si maofisini saaana kama taasisi zingine.
 
kuna report imetolewa juzi ikionyesha polisi ndo wanaongoza kwa rushwa nchini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom