vikosi makuruti
Senior Member
- Apr 3, 2014
- 192
- 68
mliomaliza chuo mwaka 2013 kushuka chini hamtakiwi hapo,,,
dah..watu wa IT ndo hawatakiwi jaman,nisheeeeeda.
Baba aliniusia. Mwanangu fanya kazi zote lakini usije ukafanya kazi ya polisi. Hii ni baada ya baba kuona dhulma wanazofanya polisi dhidi ya watu wenye haki.
Umewahi kuona polisi akikata roho anavyoteseka ????ni kiashirio cha dhambi nyingi wanazokua nazo. kula na majambazi. wezi. wauaji. kumgeuzia kibao mwenye haki etc. Watangazie wasio jua madhambi yenu sio mimi na wanangu.
Polisi hata uwe na MASTERS bado utakuwa na upeo wa kijinga tu.Hawa polisi wakishavaa magwanda ufahamu wote huwapotea.
Me nataka jeshini sio polisi