Tangazo la ajira Jeshi la Polisi 2014/2015

Potoshaneni...wengi husema hivo but ushahidi hawana, akiingia huku ukimuuliza vipi unasemaje kuhusu jeshi la polisi, utasikia "aah nilikuwa nasikia mengi kumbe daah ni hulka yamtu binafsi"
I declare interest..binafsi niaskari but sijawahi kupokea rushwa (maana baadhi ya askari haombi rushwa..hupokea). Nipo ofisini nafanya sehem yajukumu langu narudi kwangu. Nmefanya pia kazi za kusimama point na kuznguka na pikipiki...kupokea rushwa ni hulka ya mtu mmoja mmoja sio woote, kama ilivyo sekta zingine kama ardhi na nyumba,mahakama,ugavi,tra au bandari, kuna rushwa kubwa
mmno huko. Over!

Mkuu mbona mmetangaza nafasi kiupendeleo?? Maana wengine tumemaliza form Six tukiwa na miaka 23!!
Chuo miaka 3 hapo tayari nina 26 plus kusugua lami miaka 2 now ni 28!!!
Tangazo lenu mnasema lazima usiw above 25!! Huoni mnatoa ajira kiupendeleo poti?
 
hakuna jeshi zuri kama polisi tanzania vijana tumeni maombi utajutia siku wenzio wakimaliza depo mwakani na kuanza kazi doria ni kawaida lazima tulinde watu na mali zao pili huwezi linganisha salary ya police na kazi zingine za wenye degree huku bata tu tar 15 acc inasoma hizo favour hupati kwengine
 
Mkuu mbona mmetangaza nafasi kiupendeleo?? Maana wengine tumemaliza form Six tukiwa na miaka 23!!
Chuo miaka 3 hapo tayari nina 26 plus kusugua lami miaka 2 now ni 28!!!
Tangazo lenu mnasema lazima usiw above 25!! Huoni mnatoa ajira kiupendeleo poti?

Sidhani kama kuna upendeleo apo. Majeshi yoote huajili hivyo. JWTZ wanaweza kupokea hata 27 kwa kuwa lazima upitie JKT so wana assume umeipotezea huko. Tunachukua damu changa (wadogo zenu) ili tutengeneze spirit na integrity/positive attitude kazini. Nashauri wakitoka tu CCP waulizeni ivi katka zile course 10 mnazosoma...ukiacha ya mwisho 'field crafts' ni ipi inafundisha rushwa? Mbona mkifika huku mnaharibika? Au mnaiga wakongwe?
 
hakuna jeshi zuri kama polisi tanzania vijana tumeni maombi utajutia siku wenzio wakimaliza depo mwakani na kuanza kazi doria ni kawaida lazima tulinde watu na mali zao pili huwezi linganisha salary ya police na kazi zingine za wenye degree huku bata tu tar 15 acc inasoma hizo favour hupati kwengine

Mkuu Ejay mimi natamani sana ila nina miaka 26 yaani nimekosa pozi kabisaa, sijui nafanyaje kati ya hzo degree zilizotajwa na mimi ninayo moja ya mwaka huu kutoka udsm, ushauri jamani
 
Sidhani kama kuna upendeleo apo. Majeshi yoote huajili hivyo. JWTZ wanaweza kupokea hata 27 kwa kuwa lazima upitie JKT so wana assume umeipotezea huko. Tunachukua damu changa (wadogo zenu) ili tutengeneze spirit na integrity/positive attitude kazini. Nashauri wakitoka tu CCP waulizeni ivi katka zile course 10 mnazosoma...ukiacha ya mwisho 'field crafts' ni ipi inafundisha rushwa? Mbona mkifika huku mnaharibika? Au mnaiga wakongwe?

Hawa under 25 ndo hawabugii mimba aka rushwa?? Walivyo na ukasi wa kusonga na life lazima wagugumie mbuyu...!!
Asante kwa ufafanuzi kwenye suala la miaka
 
Potoshaneni...wengi husema hivo but ushahidi hawana, akiingia huku ukimuuliza vipi unasemaje kuhusu jeshi la polisi, utasikia "aah nilikuwa nasikia mengi kumbe daah ni hulka yamtu binafsi"
I declare interest..binafsi niaskari but sijawahi kupokea rushwa (maana baadhi ya askari haombi rushwa..hupokea). Nipo ofisini nafanya sehem yajukumu langu narudi kwangu. Nmefanya pia kazi za kusimama point na kuznguka na pikipiki...kupokea rushwa ni hulka ya mtu mmoja mmoja sio woote, kama ilivyo sekta zingine kama ardhi na nyumba,mahakama,ugavi,tra au bandari, kuna rushwa kubwa
mmno huko. Over!

Ngoja nichangamkie fursa mapema
 
Mkuu Ejay mimi natamani sana ila nina miaka 26 yaani nimekosa pozi kabisaa, sijui nafanyaje kati ya hzo degree zilizotajwa na mimi ninayo moja ya mwaka huu kutoka udsm, ushauri jamani

apply bro isiwe zaidi ya 28
 
Ni 741,000/- ukiachana 15% ya kutumikia profession yko, 15% kodi ya kupanga (kama huishi quoters), au 10% kama utakuwa FFU, au 15% ukipangwa upelelezi. Toa na 180,000/- lession ya kila tar15. Nimekuibia japo mshahara ni siri. Haya uamuzi niwenu.
Kipimo cha mtanzania mpiga kelele ni kumpa nafasi au pesa, yoote mnayoongea humu,mkiingia huku mnakaa kimyaa!

Mkuu naona mmeita mpaka madaktari ambao mshahara wa kuanzia serikalini tu ni Milioni 1.2 (BOFYA HAPA)....sasa mnatufikiriaje huko polisi ba hiyo laki saba??
 
Mkuu La Cosa Mia waulize madaktari polisi au madaktari wanajeshi...kama kuna mahali wanaweza kulipwa hivo easily then why wakubali kwnd kunyoa vipara na kugalagazwa chini wakati salary yao ni 7 digits? Nnavojua mm nikuwa wanalipwa according to their professional codes...Over!
 
Mkuu La Cosa Mia waulize madaktari polisi au madaktari wanajeshi...kama kuna mahali wanaweza kulipwa hivo easily then why wakubali kwnd kunyoa vipara na kugalagazwa chini wakati salary yao ni 7 digits? Nnavojua mm nikuwa wanalipwa according to their professional codes...Over!

Kwa jwtz hakuna maswali maana daktari kule analipwa mara tatu zaidi ya uraiani na nyota beganI za kutosha ndio maana kuna hadi madaktari bingwa kama ilivyokuwa kwa meja jenerali Kohi Yodani neurosurgeon huyu kwa taarifa....kwa kifupi jeshi la wananchi lina program maalumu ya kuwa-award wasomi wao ndio maana mwenye shahada ya uhasibu ni tofauti na udaktari sasa na nyie huo utaratibu mmeanza ??? Pia nikwambie tu polisi haijawahi Kuita madaktari kamili bali clinical officers wenye diploma....over!!
 
me taka kwenda huko , wanakula rushwa au hawali me don't care , shasota sana kitaa na hizi kampuni uchwara , no life all, but naskia kuingia huko nayo sio rahisi kama mnavofikiria....
 
Last edited by a moderator:
La Cosa Mia cjui kuna watu wanakudanganya au ni mtoto wakota cjui. Hazina ndo wanalipa mishahara sio jeshi. Mm cpo hapa kupambanisha JWTZ na PT...obviously wapo juu coz ov their potentiality lakini nakuapia kuwa dokta au engineer au teacher wa JW analipwa salary yake ya elimu yke + allowance 50% ya salary yke + viallowance vidogo vya risk & emergency ambavyo vipo kwa dokta na teacher wa PT(vyuo vya polisi) ili asijione tofaut na wanje.
 
Polisi tunaajiri doctors, chemists,clinical officers, etc. Kama mlivoona kwny tangazo...mwaka huu tumeongeza zaidi hadi wataalam wa madini...@ La Cosa Mia.
Kuhusu salary nishaeleza posts za apo juu...uliza wenzio. TEMBO KICHAKA.
 
Last edited by a moderator:
La Cosa Mia cjui kuna watu wanakudanganya au ni mtoto wakota cjui. Hazina ndo wanalipa mishahara sio jeshi. Mm cpo hapa kupambanisha JWTZ na PT...obviously wapo juu coz ov their potentiality lakini nakuapia kuwa dokta au engineer au teacher wa JW analipwa salary yake ya elimu yke + allowance 50% ya salary yke + viallowance vidogo vya risk & emergency ambavyo vipo kwa dokta na teacher wa PT(vyuo vya polisi) ili asijione tofaut na wanje.

Acha dharau kijana unaongea na Mkubwa wako na ni daktari kwa hiyo hizo options Zote nilishazifikiria...mngekuwa mnaajiri madaktari mkuu wa kikosi cha afya asingekuwa injinia....au mmebadili sasa hivi??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom