mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,867
- 8,270
Tanesco bana, walijishaua sana eti kukatikatika huko sio mgawo bali ni matatizo ya ufundi wapiii.Tanesco kwa uongo ni kama chama cha magamba vile,sawa ufumbuzi nilionao,ili nisikwame kufanya kazi nanunua tablet angalau masaa matano kazi zangu nitakuwa nimeshafanya, clients wa nje ukiwaambia nashindwa kumaliza kazi sababu hakuna umeme hawakuelewi,unabaki kuulizwa are you serious?loh hawa Mapacha watatu kweli wametukomoa,halafu eti ndio tunaambiwa ''ukosefu wa ajira kwa vijana ni bomu linalongojea kulipuka''ovyoooo.Panapo uhai tutaonana kwenye kisanduku cha kura,itakuwa kumkoma nyani girani