0715 997688 or 0653 297681. Karibu!!tupe namba za simu tufanye biashara
Vipi watu wangu, hamjambo? Nasikitika kuwajulisha kuwa TANESCO wametangaza mgao wa umeme tena rasmi leo. Utaisha lini??.... mimi na wewe hatujui! Lakini tusiwe na shaka, taa ya ajabu(crankbox) pamoja na moonlight solar zipo kwa ajili yako. Mwanga utapata, mawasiliano utapata, kwa bei nafuu, wakati wowote, popote ulipo.
View attachment 50291
Taa Ya Ajabu - Tshs: 40,000/=
View attachment 50292
Moonlight Solar - Tshs: 35,000/=
Hizo bei ni za mwisho (fixed price).
ZINAPATIKANA MBEZI BEACH KITUO CHA SAMAKI INDEPENDENT INTERNET CAFE
K/KOO MTAA WA MAFIA & SWAHILI DUKA LINAITWA WINO WORKS...
KARIBUNI SANA...
Hivi Mhando akijua uchungu wa magawo atachukua pesa toka mfukoni kwake na kuziingiza TANESCO? Wanasiasa wetu wana mambo kweli siku hizi. Kila mtu anakimbilia umaarufu kwa kutoa tamko ambalo litawafurahisha wapiga kura.
kwa nini wasiseme jenereta ziondolewe kwa Waziri wa Fedha, Ikulu kwa Waziri wa nishati na madini nk.?
Sijasikia mpango endelevu bado, nilitegemea kusikia mazungumzo ya Uranium hapa. Kama hatujafikiria kuomba msaada tutumie uranium yetu bado naona tutakuwa na dharura kila mwaka.
Zitto anaonyesha jinsi gani anakurupuka kutoa maamuzi.
Mhando si yeye alisebabisha hizo pesa sizitoke na wala hana uwezo wa kushinikiza serikali impatie hizo pesa.
Pia kumbuka huyo ni CEO wa TANESCO anazo benefits na heshima yake kama boss wa TANESCO. Angelikuwa kaweka genereta za kubwa za Tanesco kwake sawa, lakini hii kapewa kama part of his perks. Anastahili kabisa kama CEO.
Hii ni embarrasment kwa CEO na kutaka kumdhalilisha kwa manufaa yako binafsi na uzembe wa kufikilia na kuharakisha kutoa maamuzi.
Watz tulishangilia sana tuliposikia kuwa katika nchi yetu kuna GESI; lakini baada ya mradi wa Songosongo kuanza hakuna tofauti na ndio kwanza mgao unaongezeka. Hivyo sidhani kama Uranium itasaidia hapa zaidi ya kuleta ulaji kwa baadhi yetu madarakani.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Kuna waziri mmoja wa Elimu Uingereza alifukuzwa kazi simply alimuhamisha mtoto wake kutoka shule ya SERIKALI kwenda shule ya BINAFSI. Hiyo tu ilikuwa SCANDAL ya kumuachisha kazi. Kama waziri hana imani na elimu inayotolewa na shule za serikali ambazo anazisimamia, Je atafanya jitihada ya kuboresha hiyo elimu kama mtoto wake anamuhamisha?
Hayo ndiyo ya Mhando kwamba hana uhakika na umeme wa TANESCO ambao yeye ndiye msimamizi wake mkuu. Tena wangeanda mbali kumpiga STOP hata ya kuweka generator kwa pesa yake because hiyo nyumba ni mali ya TANESCO. Kama anataka akaweka generator kwenye nyumba yake.
Lakini hawa POAC wasiishie hapa, waihoji TANESCO kwanini haikusanyi madeni yake kutoka kwa wadai wakubwa sugu kama JWTZ, ZESCO?
Umeliona hili Mkuu eeh.. Nimeshangazwa sana na kauli hiyo ya wabunge.. Kwanza wana mandate hiyo ya kuingilia mipangilio ya hw tanesco wanapeana privileges..? Au ndo yale ya taasisi na viongozi kutojua mipaka yao ya kazi..? Halafu itatatua vipi tatizo lililopo la umeme..? Kwa nini wasiseme mpaka lile la pale Ikulu litolewe nalo..? Wakati umefika sasa kwa hawa viongozi kuacha kutoa kauli za kisiasa.. political stunts hazitasaidia...