kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,038
- 18,014
Sikuwahi kuwa mpenzi wa movie za kibongo au series za kibongo ila hii ilikuwa ni series ya moto sana
Nimeamini Tanzania kuna vipaji vya waigizaji aisee kiukweli wamefanya kazi kubwa
Nilikuwa namkuta wife akifatilia hii series mwanzoni nikaona matani ila kiukweli hii series daaah
Imevaa uhusika kwa kitanzania kabisa zile blah blah za Bongo movie tulizozoea kuona humu hamna!!
Nilikuwa na mentality ya kuamini kuwa za nje ndo poa ila to be honest hii series ilikua noma na ya moto sana
Wamefanya kazi kubwa sana nadhani hii ndo series bora ya mwaka wanastahili tuzo hawa watu
Nimeamini Tanzania kuna vipaji vya waigizaji aisee kiukweli wamefanya kazi kubwa
Nilikuwa namkuta wife akifatilia hii series mwanzoni nikaona matani ila kiukweli hii series daaah
Imevaa uhusika kwa kitanzania kabisa zile blah blah za Bongo movie tulizozoea kuona humu hamna!!
Nilikuwa na mentality ya kuamini kuwa za nje ndo poa ila to be honest hii series ilikua noma na ya moto sana
Wamefanya kazi kubwa sana nadhani hii ndo series bora ya mwaka wanastahili tuzo hawa watu