Nafsi inamsuta enheeeeeeeeeeeee!
Makumira imeshakombolewa...na watu wana hasira sana...wanatamani uchaguzi mkuu ungekuwa kesho..ha ha haaa
PJ kweli anastahili pongezi kwa kutuhabarisha. Maana hizi habari zingechakachuliwa tusingeambulia chochote! Keep it up PJ.
Mamluki hawapo mkuu?? Maana anaweza kushangiliwa kumbe Chama Cha Maulaji kimerundika mamluki eneo la tukio.......aMESHANGILIWA NA WATU SANA BAAD YA TAMKO HILO...HA HA HAAAAA!
Mkuu..ni aibu...Si rahisi wakaambulia kitu hapa...Watu wanaonelkana tu kwa sura zao walivyo na uchungu....Mamluki hawapo mkuu?? Maana anaweza kushangiliwa kumbe Chama Cha Maulaji kimerundika mamluki eneo la tukio.......
Aliishia eneo la Monduli..ambapo ni kama KM 30tu toka mjini arusha...ha ha haaa
Zoezi la kadi bado linaendelea...zinagombewa kama mpira wa kona..rekodi zote zinachukuliwa kwa utaratibu maalum...
Jana JK alikuwa Arusha..lakini hakuthubutu kukanyaga ARUSHA MJINI... .ha ha haaaa