Najiandaa kwa mpambano mkuu,hii KATIBA inaonekana lazime idaiwe kwa ubabeubabe hiviHaha haaaa..
Mkuu Inkoskaz...ina maana unapofanya hivyo unapigania maslahi ya taifa eeh?
HII KITU ITAKUWA NZURI MNO, jamani tujaribu kuwashauri viongozi wa chama walishughulikie hili kwani kuna taarifa nyingi zimekuwa hazitufikii zinazohusu chama na zinazoweza kutufikia basi nyingi zinakuwa zimechakachuliwa.....Pj tukianzisha chadema tv utakuwa tido wetu!
Tendo la kugawa kadi hadharani linaendelea wakuuu..kuna foleni za hatari...sijui kama Mbowe atafanikiwa kumaliza misururu hii leo.