Tamasha la CDM-Makumira University

Mbowe.JPG
Kamanda Mbowe Akianza kuhutubia.

Mbowe3.JPG

"Thamani ya Werevu ni kutokukubali kutawaliwa na wajinga (Mbowe)
 

Attachments

  • Mbowe1.JPG
    Mbowe1.JPG
    56.5 KB · Views: 37
  • Mbowe2.JPG
    Mbowe2.JPG
    38.8 KB · Views: 34
  • Mbowe4.JPG
    Mbowe4.JPG
    41.1 KB · Views: 31
Wanafunzi4.JPG Wanafunzi2.JPG Wanafunzi3.JPG
Wanafunzi wakimsikiliza kwa makini Kamanda Mbowe alipokuwa akiwahutubia.

Mh. Mbowe alizungumzia Maandamano ya Arusha na kusema yameamsha hamasa mpya katika Taifa kwa ujumla na kwamba Wananchi watulie wakati Chama kinapanga mikakakati mipya na kwamba hakuna kulala mpaka kieleweke.

Akijibu risala ya wanafunzi, alisema Hivi karibuni CDM itaanzisha operation kubwa kuliko ile Sangara ili kuhakikisha kwamba kila kijiji kinafikiwa nchi nzima na Makamanda wa CDM wakiwemo wabunge wote 48 na kuwataka wabunge kujiandaa kikamilifu kwa kazi hiyo.
 
Wanafunzi5.JPG Wanafunzi6.JPG

Mh. Mbowe alisema, CCM katika uwanja wa mapambano ni laini kuliko embe Mbivu, na kwamba Chama hicho kinategemea zaidi vyombo vya dola, ikulu na usalama wa Taifa. Alisema kama kungekuwa na uwanja huru kwenye uwanja wa mapambano, CDM wanao uwezo wa kuishinda CCM kumi bila (kwa kutoa mfano wa Soka)
 
SaharaVoice thanx alot for the pictures...naamini ujumbe kamili umefika.
Keep it up mkuu.
 
Kadi.JPG

Kamanda Mbowe Akikabidhi Kadi kwa Mwanachama Mpya - Mwanafunzi wa Chuo kikuu Makumira

KAdi2.JPG

Huyu Dada sikuweza kupata jina lake, mkononi ameshika kadi ya CCM akimkimbilia Mh. Mbowe ili amkabidhi na kujiunga rasmi na CDM
 

Attachments

  • Picha2.JPG
    Picha2.JPG
    39.7 KB · Views: 37
  • Picha.JPG
    Picha.JPG
    43.7 KB · Views: 36
Picha3.JPG

Pichani, Mheshimiwa Mbowe akiwa na Mwenyekiti wa CDM mkoa Arusha Bw. Samson Mwigamba Kushoto, Mwenyekiti wa Tawi la Chuo kikuu Makumira CDM M/s Rose na kulia kabisa ni Mwenyekiti wa CDM wilaya ya Meru.
 
Back
Top Bottom