Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 2,924
- 4,354
Mangwea mbona alikufa maskiniMbona kuna kina Fid Q kidogo maisha yao yanaeleweka
Mangwea mbona alikufa maskiniMbona kuna kina Fid Q kidogo maisha yao yanaeleweka
Mangwea kufa na Umasikini ilikua na life style yakeMangwea mbona alikufa maskini
Mkuu umefafanua vizuri sana .Mengi kama sio yote uliyoeleza ni ya kweli kabisa, jamaa ni wasanii wakali sana lakini wasio na mafanikio makubwa kimuziki. Wana mauzo duni, hawana endorsement na deals nyingine, hawana tuzo za muziki nk
Sababu ya wao kutofanikiwa ni ipi sasa?
Kwenye Kilinge umeeleza kuwa project ilikufa kutokana na wao kutokuwa na nidhamu. Hujaeleza kwa kina ni vipi walikosa nidhamu na ni vipi kukosa kwao nidhamu kukapelekea kufa kwa project.
Rap city battle
Hii nayo hujaeleza kwa undani kwa nini ilishindwa kuendelea. Nafikiri Wakazi tutamtag twitter aitolee ufafanuzi. Vivyo hivyo kwa kikosi kazi kazini na nyingine pia.
Maoni yangu
1. Hujuma na Fitna
Hawa wana Tamaduni Muzik wanafanyiwa hujuma kubwa ya kimuziki na magodfather wa kiwanda cha muziki, hiyo ndiyo sababu kuu ya wao tamaduni kushindwa kutoboa. Watu kama kina Tale na Fella, hawa ndio wanaolalamikiwa sana kuwa waamuzi wa nani atoke na nani asitoke. Hapa ilikuwa ni pamoja na marehemu Ruge kupitia Clouds fm, na yeye alikua mmoja wa wauaji wa Hiphop muziki kabla ya Tamadun na hata baada ya Tamaduni. Hujuma na Fitna zinafanywa sababu ya hao magodfather kutaka wasanii walio chini yao waende zaidi, au kutaka wagawane mapato na hawa tamaduni muzik katika uwiano ambao unaoonekana wa kinyonyaji kwa tamaduni, hali inayosababisha wanatamaduni kukataa na hivyo kudispliniwa kwa kubaniwa, Rejea wimbo wa Babu Talent wa Nikki Mbishi.
Hapa kwenye fitna unakuta makampuni makubwa hayawapi endorsement hawa wana bila sababu ya msingi. Mfano labda CRDB au AIRTEL wanataka tangazo la huduma yao lifanywe kwa Rap, wapo tayari kufanya na msanii asiyejulikana kabisa kuliko kufanya na hao tamaduni. Au wanaweza mpa AY ambaye uwezo wake kirap hauwezi kuzidi hawa wa tamaduni, na hata relevancy yake kwa sasa angeweza kuitwa msanii mkongwe.
Kibiashara, new school artist ndio huhitajika matangazoni maana wateja wengi targeted ni wa kizazi cha new school. Kuna tangazo moja la airtel money, jamaa amerap sijui ni nani, tangazo ni kali ila msanii aliyelifanya sidhani kama ni maarufu. Sasa fitna inapelekea wakose pesa na kukosa pesa inafanya wasitoke.
Fikiria Harmonize anapata endorsement ya milioni 300 hapo CRDB kufanya matangazo ya audio na picha mnato, hiyo deal angepewa Nikki Mbishi hata kwa nusu bei, si angetoboa kabisa mwana na impact ya tangazo ingekuwa sawa tu na anavyofanya harmonize.
Mwaka 2010 au 2011, tamaduni muzik walikuwa wanaitwa wasanii wa internet, yaani wasanii wanaojulikana mitandaoni tu. Hili neno lilikuwa linatumiwa na weusi pamoja na watangazaji wa radio kubwa kama clouds. Tuzo za Kili mwaka huo zikafanyika kwa kupiga kura mtandaoni, lilikuwa ni jambo jipya. Tungetegemea waliojitanabaisha kuwa wasanii wa internet washinde hizo tuzo, ila nako walipigwa fitna hata nominations tu walikosa. Uzingatie wasanii wengine hawakuwa wamezingatia soko la mitandaoni kwa wakati huo.
2. Fedha na uwekezaji
Jambo kubwa linalowaangusha hawa tamaduni ni uwekezaji. Fedha inahitajika ili kufanya ngoma kali za kiwango bora (quality) lakini kwa kujiself sponsor inasabanisha wana washindwe kufanya track za mixing kali na pia kufanya video kali na directors wakubwa.
Mfano huo wimbo wa Babu Talent licha ya kuwa na mashairi supa, video yake ni ya kiwango cha kawaida kabisa - yaani kuchezwa na tv hata za ndani inakuwa ni kwa kudra tu za Mungu.
Mfano, kwa sasa studio kama za WCB au kina Mocco genious, zina kiwango kikubwa sana cha utayarishaji wa muziki, hawa tamaduni wangeweza kufanya mixing na mastering zao huko lakini ama hawana fedha kulipa hizo studio ama hawahitajiki kwa hizo studio ama ego tu inawafanya wenyewe tamaduni waone ni uwack kwenda kwenye hizo studio.
3. Mentality
Kufanya commercial muziki tamaduni wanaona ni uwack. Hapa wanapishana pakubwa sana na biashara. Duniani kote muziki sasa hivi ni biashara. Inabidi wakubali mabadiliko kuendana na nyakati na pia soko.
Wao watakwambia, mfano sasa hivi ushoga ndio umetrend duniani, kwa hiyo na sisi tuwe mashoga ili kuendana na nyakati?? Hapo labda umewaambia wafanye muziki kwa beat zilizo kisasa (trap, drill nk). Mo Famous aka Mo Tecnic aka Jay Moe alifanya ile pesa ya madafu kwa beat ya trap na akarap kiufundi, haikumuondolea uana hiphop wake na ilimrejesha kwenye game japo hakuendeleza sana uwepo wake.
Sasa tamaduni inabidi wabadilike mtazamo, wakubali kujiendesha kibiashara. Wakubali kula na kuliwa kibiashara, heri nusu shari kuliko shari kamili. Kuna kipindi Stereo alifanya kazi na WCB na alisogea sogea sana, hata sasa nafikiri ndio msanii anayeingiza kipato kikubwa kupitia muziki kwa hao tamaduni.
tatizo vinega, hippop culture imewaingia kwenye damu, kila kitu wanawaza harakatiSio nyota ni vile hataki kujiongeza, yan kwa kifupi hana maarifa
Nimekupata kinoma noma...Mengi kama sio yote uliyoeleza ni ya kweli kabisa, jamaa ni wasanii wakali sana lakini wasio na mafanikio makubwa kimuziki. Wana mauzo duni, hawana endorsement na deals nyingine, hawana tuzo za muziki nk
Sababu ya wao kutofanikiwa ni ipi sasa?
Kwenye Kilinge umeeleza kuwa project ilikufa kutokana na wao kutokuwa na nidhamu. Hujaeleza kwa kina ni vipi walikosa nidhamu na ni vipi kukosa kwao nidhamu kukapelekea kufa kwa project.
Rap city battle
Hii nayo hujaeleza kwa undani kwa nini ilishindwa kuendelea. Nafikiri Wakazi tutamtag twitter aitolee ufafanuzi. Vivyo hivyo kwa kikosi kazi kazini na nyingine pia.
Maoni yangu
1. Hujuma na Fitna
Hawa wana Tamaduni Muzik wanafanyiwa hujuma kubwa ya kimuziki na magodfather wa kiwanda cha muziki, hiyo ndiyo sababu kuu ya wao tamaduni kushindwa kutoboa. Watu kama kina Tale na Fella, hawa ndio wanaolalamikiwa sana kuwa waamuzi wa nani atoke na nani asitoke. Hapa ilikuwa ni pamoja na marehemu Ruge kupitia Clouds fm, na yeye alikua mmoja wa wauaji wa Hiphop muziki kabla ya Tamadun na hata baada ya Tamaduni. Hujuma na Fitna zinafanywa sababu ya hao magodfather kutaka wasanii walio chini yao waende zaidi, au kutaka wagawane mapato na hawa tamaduni muzik katika uwiano ambao unaoonekana wa kinyonyaji kwa tamaduni, hali inayosababisha wanatamaduni kukataa na hivyo kudispliniwa kwa kubaniwa, Rejea wimbo wa Babu Talent wa Nikki Mbishi.
Hapa kwenye fitna unakuta makampuni makubwa hayawapi endorsement hawa wana bila sababu ya msingi. Mfano labda CRDB au AIRTEL wanataka tangazo la huduma yao lifanywe kwa Rap, wapo tayari kufanya na msanii asiyejulikana kabisa kuliko kufanya na hao tamaduni. Au wanaweza mpa AY ambaye uwezo wake kirap hauwezi kuzidi hawa wa tamaduni, na hata relevancy yake kwa sasa angeweza kuitwa msanii mkongwe.
Kibiashara, new school artist ndio huhitajika matangazoni maana wateja wengi targeted ni wa kizazi cha new school. Kuna tangazo moja la airtel money, jamaa amerap sijui ni nani, tangazo ni kali ila msanii aliyelifanya sidhani kama ni maarufu. Sasa fitna inapelekea wakose pesa na kukosa pesa inafanya wasitoke.
Fikiria Harmonize anapata endorsement ya milioni 300 hapo CRDB kufanya matangazo ya audio na picha mnato, hiyo deal angepewa Nikki Mbishi hata kwa nusu bei, si angetoboa kabisa mwana na impact ya tangazo ingekuwa sawa tu na anavyofanya harmonize.
Mwaka 2010 au 2011, tamaduni muzik walikuwa wanaitwa wasanii wa internet, yaani wasanii wanaojulikana mitandaoni tu. Hili neno lilikuwa linatumiwa na weusi pamoja na watangazaji wa radio kubwa kama clouds. Tuzo za Kili mwaka huo zikafanyika kwa kupiga kura mtandaoni, lilikuwa ni jambo jipya. Tungetegemea waliojitanabaisha kuwa wasanii wa internet washinde hizo tuzo, ila nako walipigwa fitna hata nominations tu walikosa. Uzingatie wasanii wengine hawakuwa wamezingatia soko la mitandaoni kwa wakati huo.
2. Fedha na uwekezaji
Jambo kubwa linalowaangusha hawa tamaduni ni uwekezaji. Fedha inahitajika ili kufanya ngoma kali za kiwango bora (quality) lakini kwa kujiself sponsor inasabanisha wana washindwe kufanya track za mixing kali na pia kufanya video kali na directors wakubwa.
Mfano huo wimbo wa Babu Talent licha ya kuwa na mashairi supa, video yake ni ya kiwango cha kawaida kabisa - yaani kuchezwa na tv hata za ndani inakuwa ni kwa kudra tu za Mungu.
Mfano, kwa sasa studio kama za WCB au kina Mocco genious, zina kiwango kikubwa sana cha utayarishaji wa muziki, hawa tamaduni wangeweza kufanya mixing na mastering zao huko lakini ama hawana fedha kulipa hizo studio ama hawahitajiki kwa hizo studio ama ego tu inawafanya wenyewe tamaduni waone ni uwack kwenda kwenye hizo studio.
3. Mentality
Kufanya commercial muziki tamaduni wanaona ni uwack. Hapa wanapishana pakubwa sana na biashara. Duniani kote muziki sasa hivi ni biashara. Inabidi wakubali mabadiliko kuendana na nyakati na pia soko.
Wao watakwambia, mfano sasa hivi ushoga ndio umetrend duniani, kwa hiyo na sisi tuwe mashoga ili kuendana na nyakati?? Hapo labda umewaambia wafanye muziki kwa beat zilizo kisasa (trap, drill nk). Mo Famous aka Mo Tecnic aka Jay Moe alifanya ile pesa ya madafu kwa beat ya trap na akarap kiufundi, haikumuondolea uana hiphop wake na ilimrejesha kwenye game japo hakuendeleza sana uwepo wake.
Sasa tamaduni inabidi wabadilike mtazamo, wakubali kujiendesha kibiashara. Wakubali kula na kuliwa kibiashara, heri nusu shari kuliko shari kamili. Kuna kipindi Stereo alifanya kazi na WCB na alisogea sogea sana, hata sasa nafikiri ndio msanii anayeingiza kipato kikubwa kupitia muziki kwa hao tamaduni.
Dah yan unawajua wawili tuuHapo nawafahamu Wakazi na One the incredible tu
jamii kubwa ya watz hususani kizazi cha mitandao ya kijamii, haipendi kujihusisha na masuala yanayotaka akili izame ktk tafakuri.Sema ngoma zao huwa wanatuliza akili
Ni kweli, only the strong survive. Kina Ngwair et al walishindwa kuhimili depression wakawa mateja na mauti yakawakuta. Chanzo ni mambo hayahaya kuwa unafanya kazi sana, kipaji kipo na hutoki.Only strong survive , fitina kwenye mziki ni janbo la kawaida , nikuuliza hakuna mwanamuziki yoyote bado yupo kwenye Game ambaye alikuwa na bifu na luge , fela nk?
Nabadilikia humu humu - Lord EyezGEMU NI GUMU
Sema ngoma zao huwa wanatuliza akili
Magodfather hawakwepeki na wapo karibu kwenye kila biashara. Kuna mfanyabiashara alikuwa yupo vizuri sasa siku moja ma-godfather wakampa mchongo na kumwambia chao kitakuwa kiasi gani. Hela ilipolipwa akataka kuwapunja. Wazee wakamwambia bora chukua tu zote endapo utataka kwenda tofauti. Yule jamaa kweli akala zote mwenyewe. Wale mafaza wakawa wametulia kama hakuna kinachoendelea. After 2 years jamaa kajikuta jela kwa kesi ya uhujumu uchumi huku bank accounts zote zikiwa freezed na biashara kufungwa. Ni kwamba lazima ukubali watu wale na wewe ule.Ni kweli, only the strong survive. Kina Ngwair et al walishindwa kuhimili depression wakawa mateja na mauti yakawakuta. Chanzo ni mambo hayahaya kuwa unafanya kazi sana, kipaji kipo na hutoki.
Wapo waliohimili mabifu na kina Fela mpaka leo wapo wakifanya muziki, na wapo waliokubali terms za magodfather na mpaka sasa wanaendelea. Hata hawa Tamaduni muzik bado wapo kwenye game licha ya mabifu na hao magodfather ila ndio hivyo sasa hakuna kutoboa. Unakuwa underground deile
Nyimbo ya Babu Talent ina miaka 6 youtube ila ina viewers laki 2..unaona kabisa uwiano haupo. Kuna mtu anaitwa Kalighraph Jones namba zake zinasomeka balaa, anajitapa mpaka kwa wanaijeria.. ni kwamba anabadilika badilika na anaendana na wakati. Sometimes ubishi unakwamisha mambo.
Nabadilikia humu humu - Lord Eyez
Washenzi hao. Alama yao ni umaskini
Dah noma sana mkuu.Magodfather hawakwepeki na wapo karibu kwenye kila biashara. Kuna mfanyabiashara alikuwa yupo vizuri sasa siku moja ma-godfather wakampa mchongo na kumwambia chao kitakuwa kiasi gani. Hela ilipolipwa akataka kuwapunja. Wazee wakamwambia bora chukua tu zote endapo utataka kwenda tofauti. Yule jamaa kweli akala zote mwenyewe. Wale mafaza wakawa wametulia kama hakuna kinachoendelea. After 2 years jamaa kajikuta jela kwa kesi ya uhujumu uchumi huku bank accounts zote zikiwa freezed na biashara kufungwa. Ni kwamba lazima ukubali watu wale na wewe ule.
Dah noma sana mkuu.
Hapa ndio niliposema kuwa inabidi wana wabadili mentality, wafanye muziki kibiashara. Ukifanya biashara wewe unachoangalia ni faida, hutajali tena style au nini..kama vile wanavyofanya weusi, utaimba ili uuze. Tupac anasema, "Everybody Rap, we dont rap, we rap to make money"
Msikilize hapa dakika 1:08
Kwa hiyo wana wanatakiwa wabadilike waache kukaza, wakae na magodfather wafanye biashara. Ni kama ishu za maridhiano za CCM na Chadema,now wanapongezana na picha kwenye mabango, mambo yanaenda😃😃
Ndo maana pia ni maskini sanaHip hop ni harakati sio burudani kama unavyodhani. Ndio maana wasanii wake huwa hawanaga shobo na show na skendo za mitandaoni.