KELVIN GASPER
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,066
- 454
Hivi tutaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu hadi lini?.Usemi huu wa mzee ruksa unaonekana haujatupa fundisho lolote walimu na wachezaji wa timu yetu ya taifa. Jana tumecheza na msumbiji mechi maalum kwa ajili ya ufunguzi wa uwanja wa kisasa uliojengwa na wachina huko msumbiji timu yetu imefungwa 2-0. najua wakirudi sababu lukuki tusubiri.