baba aura
JF-Expert Member
- Aug 5, 2023
- 230
- 348
Wakuu habar ,tuwekane wazi kabisa na wala si kuwatupia lawama wachezaji au kocha ilihali mnajua timu yetu ni mbovu tu miaka nenda miaka rudi mpaka siku za kalenda
Hii timu ingekuwa imefuzu wala isingefungwa na morocco na wala hatafungwa na congo au zambia na tena ingeweza vuka group stage
Na tukitaka ifuzu basi muwapeleke ball boys walioisaidia taifa stars kufuvu
Hii timu ingekuwa imefuzu wala isingefungwa na morocco na wala hatafungwa na congo au zambia na tena ingeweza vuka group stage
Na tukitaka ifuzu basi muwapeleke ball boys walioisaidia taifa stars kufuvu