Kwa hiyo staili tunang'atuka.
Tv Mozambique
Bado mkuu mpaka dakika 90 na 4 za refa ziishe ndio tutaongea mengine!
dakika ya ngap na kwa wanaofuatilia vp kuna matumaini ya kusawazisha au ndio hivyo wanatubonyeza hawa wamakonde?
Na hapa vp?acha kudanganya watu TvM hawaoneshi mechi bali wanapiga mziki.
Hakuna hata TV moja inaoyesha hii mechi online wala TVM1 an TVM2 wala TBC wala nani anaonyesha inaelekea jamaa wameamua kubania ili wafanye fitna ikibidi.
Mkuu hata hii hamna kitu - Page Not Found!