Taifa stars vs Mozambique.

dakika ya ngap na kwa wanaofuatilia vp kuna matumaini ya kusawazisha au ndio hivyo wanatubonyeza hawa wamakonde?
 
People timu zetu,
bado ni kichwa cha mwenda wazimu,sina matumain na kuvuka raundi hii.
 
duuh nimeishiwa pozi. Pamoja na kubeti kote huko? Watoe hata draw bac.
 
Back
Top Bottom