Mkuu nashukuru kwa kuliona hilo, hawa washabiki wa Ndala wanafiki sana kama wazee wao kina Yusuf Mzimba na Ibrahim Akilimali, juzi hapa stars imeshinda ikaitwa timu ya Taifa leo imetolewa inaitwa Simba wananiudhi kweli, ndo maana walipigwa mkono.
hiloo ni li simba stars halina mwelekeo,. Weka watu wazima wapige kazi sio kutujazia wavuta bang ambao super coach maximo aliwakataa we unawaludisha