demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,118
Mkakati wa Al ahly kwenye hatua ya mtoano laiti kama angekutana na Yanga SC hapa Taifa kwenye hatua ya mtoano kama hii basi hii mechi ingeisha leo.
Sioni Simba wanaweza kwenda Cairo kutoboa ktk fixture ya marudiano. SIONI kwakweli.
Hii ni robo fainali ya 5 Simba anashindwa kwenda nusu.
Game ilikuwa nyepesi kabisa hii....
Al Ahly alicheza kiunga unga sana leo.
Sioni Simba wanaweza kwenda Cairo kutoboa ktk fixture ya marudiano. SIONI kwakweli.
Hii ni robo fainali ya 5 Simba anashindwa kwenda nusu.
Game ilikuwa nyepesi kabisa hii....
Al Ahly alicheza kiunga unga sana leo.