maliyamungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 564
- 412
jamani jamani jamani...uuwi
mi sipati picha kianzie mbinga na komba kimkutie jimboni na unene wake ha ha aha ha.
jamani jamani jamani...uuwi
Nimejiuliza sana swali hili bila majibu. Nisaidieni.
Mwaka 1978 tuliingia vitani na Uganda chini ya Idd Amin, lakini tulipambana kama Taifa vita ile kwa pamoja yaani viongozi wetu, makamanda, askari, Taasisi mbalimbali na Raia wote hadi tukashinda.
Sasa hivi hatuna tena maelewano ya aina ile. Tunachokiona ni uhasama kati Bunge na Serikali, Serikali na Raia wake, Taasisi na Taasisi na hata Askari na Raia. Ufisadi umeshika kasi ndani ya Taasisi muhimu za Umma kiasi kufikia kununua vifaa vya kijeshi vinavyodhaniwa kuwa viko chini ya kiwango (fake) hasa tukikumbuka vitu kama Helicopter zinazoanguka hovyo na mabomu yanayolipuka hovyo.
Jee kwa hali kama hiyo, ikitokea nchi jirani kushambulia mipaka yetu tunao uwezo wa kuhimili mapigo kama ule wa mwaka 1978 kama Taifa? Ama tutaita wawekezaji wa kijeshi kutulindia mipaka yetu huku sisi tukiendelea kupiga soga la malumbano?
Nimejiuliza sana swali hili bila majibu. Nisaidieni.
Mwaka 1978 tuliingia vitani na Uganda chini ya Idd Amin, lakini tulipambana kama Taifa vita ile kwa pamoja yaani viongozi wetu, makamanda, askari, Taasisi mbalimbali na Raia wote hadi tukashinda.
Sasa hivi hatuna tena maelewano ya aina ile. Tunachokiona ni uhasama kati Bunge na Serikali, Serikali na Raia wake, Taasisi na Taasisi na hata Askari na Raia. Ufisadi umeshika kasi ndani ya Taasisi muhimu za Umma kiasi kufikia kununua vifaa vya kijeshi vinavyodhaniwa kuwa viko chini ya kiwango (fake) hasa tukikumbuka vitu kama Helicopter zinazoanguka hovyo na mabomu yanayolipuka hovyo.
Jee kwa hali kama hiyo, ikitokea nchi jirani kushambulia mipaka yetu tunao uwezo wa kuhimili mapigo kama ule wa mwaka 1978 kama Taifa? Ama tutaita wawekezaji wa kijeshi kutulindia mipaka yetu huku sisi tukiendelea kupiga soga la malumbano?
mi sipati picha kianzie mbinga na komba kimkutie jimboni na unene wake ha ha aha ha.
Wafanye haraka kutukomboa kama nasi tulivyowakomboa Waganda toka kwa NduliHadi Malawi sasa wameshagundua udhaifu wa serikali yetu muda wowote watatutandika.
Ni wakati muafaka kushirikiana na jeshi la Malawi ili kuiondoa ccm madarakani. Karibu mkombozi mama Joyce Banda.Nitasupport maadui kwani nitawaona kama mkombozi
I wil die for my country,no matter wat happened.
Hata mie wasiwasi wangu ni huo kwa jinsi watu walivyo jikatia tamaa. Walio madarakani waliangalie hili kwa jicho kali zaidi kwani mara nyingi uasi wa raia unatokana na jinsi serikali yao inavyo watendea.Tena itokee, tutashirikiana na Malawi kuwang'oa CCM kama Waganda walivyoshirikiana na Tanzania kumng'oa Amin mwaka 1978.