LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
- Thread starter
- #21
Nundu wa Selote ana point.
Kuna kitu inaitwa sleep Walk ni ugonjwa.
Mtu anaamka usiku,
anafungua jokofu,
anachua misosi anapasha moto,
anakaa na kula,
hali yupo usingizini.
Ukimshitua unaweza kumpeleka katika shock,
na brain ikashindwa kufanya kazi vizuri kwa muda.
Kitaalamu ugonjwa upo.
Hata hivyo sipingi madai kwamba,
ana nguvu nyingine kutoka katika dunia ya roho.
Kabla ya kuingia kwangu ktk mparangano wa hapa town nimeenda tena nyumba ile lengwa na kukuta maombi ya Imani ikifanyika haswa na mpk sasa yule H/G hajazinduka,na kila akipata kusema neno ni kwmb anasema "ACHENI KUNIUNGUZA,NINATOKA NISAMEHENI" ndiyo lugha yake kubwa mara akitaka kusema neno.
Kazi kweli kweli!