LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Ninaishi Arusha mtaa wa Ilkiurei,Mfanyakazi mmoja wa ndani hapa mtaani kwangu amekamtwa usiku wa leo majira ya saa saba na dk 40 akiwanga ndani ya nyumba anayofanya kazi kama H/G!
Alikamatwa akiwa kama alivyozaliwa toka tumboni mwa mamaye na akiwa ameshafungua kila mlango wa vyumba na hata baadhi ya watu wakikoroma bila ya kujijua kama vyumba vyao vimefunguliwaje.
Na baada ya zoezi lake hilo kwa H/G huyo halijaisha,na ndipo Mama mwenye nyumba akawa amezinduka na kukuta chumba chake kiko wazi na ndipo akaanza zoezi la kutaka kujua nani amefungua,Na alipoukaribia chumba pili nayo wazi,kwenda kwa watoto nako kiko wazi na kuangalia mlango kuu nalo lipo wazi na ndipo alipoangalia sebuleni akaona mtu yuko uchi wa mnyama na kumhamki ni mfanyakazi wake wa ndani!
Na ndipo Mama akaanza mayowe na watu wengine wakadamka na hawakuamini walipomwona anayetenda haya yote ni mfanyakazi wa ndani!
H/G huyo alianza kubwabwaja kwa kuropoka kwa lugha mbalimbali ya kwmb yeye ni anatumika kuzimu na ndipo yowe zilizidi na hata majirani wakatokeza na nipo Mpaka mafuta wa MUNGU aliyekuwa jirani akadamka na kushusha Neno la MUNGU na akivunja nguvu ya mwovu shetani na ndipo huyo mfanyakazi akaendelea kusema mengi na baadae akazimia na mpaka natoka majira ya saa tisa alikuwa hajazinduka tu na hbr nilizopata muda si mrefu ni kwmb amezinduka na yule mpaka mafuta wa MUNGU amerudi pale na akaimarisha Neno lake Mungu katika makazi hayo ambao watu walikuwa wamepungukiwa na Neno la Mungu!
TAHADHARI:
Ndg zanguni tuweni makini sana na wafanyakazi wa nyumbani kwn wengi wao wamezidi kuwa ni mawakala wa kuzimu na hasa kwa upande wa watoto wa kike na sijajua ni kwnn haya yanawakumba wao sana!
Huyo mtoto ameongea mengi sana kuhusu wanavyotumika ktk ulimwengu wa nguvu za giza.
Ni hayo tu yaliyojiri night hii hapa mtaani kwangu na nikapenda niwajuze wadau wa JF!
Nawasilisha!
Alikamatwa akiwa kama alivyozaliwa toka tumboni mwa mamaye na akiwa ameshafungua kila mlango wa vyumba na hata baadhi ya watu wakikoroma bila ya kujijua kama vyumba vyao vimefunguliwaje.
Na baada ya zoezi lake hilo kwa H/G huyo halijaisha,na ndipo Mama mwenye nyumba akawa amezinduka na kukuta chumba chake kiko wazi na ndipo akaanza zoezi la kutaka kujua nani amefungua,Na alipoukaribia chumba pili nayo wazi,kwenda kwa watoto nako kiko wazi na kuangalia mlango kuu nalo lipo wazi na ndipo alipoangalia sebuleni akaona mtu yuko uchi wa mnyama na kumhamki ni mfanyakazi wake wa ndani!
Na ndipo Mama akaanza mayowe na watu wengine wakadamka na hawakuamini walipomwona anayetenda haya yote ni mfanyakazi wa ndani!
H/G huyo alianza kubwabwaja kwa kuropoka kwa lugha mbalimbali ya kwmb yeye ni anatumika kuzimu na ndipo yowe zilizidi na hata majirani wakatokeza na nipo Mpaka mafuta wa MUNGU aliyekuwa jirani akadamka na kushusha Neno la MUNGU na akivunja nguvu ya mwovu shetani na ndipo huyo mfanyakazi akaendelea kusema mengi na baadae akazimia na mpaka natoka majira ya saa tisa alikuwa hajazinduka tu na hbr nilizopata muda si mrefu ni kwmb amezinduka na yule mpaka mafuta wa MUNGU amerudi pale na akaimarisha Neno lake Mungu katika makazi hayo ambao watu walikuwa wamepungukiwa na Neno la Mungu!
TAHADHARI:
Ndg zanguni tuweni makini sana na wafanyakazi wa nyumbani kwn wengi wao wamezidi kuwa ni mawakala wa kuzimu na hasa kwa upande wa watoto wa kike na sijajua ni kwnn haya yanawakumba wao sana!
Huyo mtoto ameongea mengi sana kuhusu wanavyotumika ktk ulimwengu wa nguvu za giza.
Ni hayo tu yaliyojiri night hii hapa mtaani kwangu na nikapenda niwajuze wadau wa JF!
Nawasilisha!