Zawadi B Lupelo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,549
- 3,722
Wanaintelegensia Kali sana hawa polisi watakuwa wamepata taarifa za kiintelejensia kuhusu hukumu ya jaji itakavyokuwa hiyo kesho! Tehe only in Tanzania
Na watakipata tu.Mkuu ccm kuna kitu inakitafuta kwenye nchi hii .
Amani iwe kwenu wakuu,ile kesi ya ubunge iliyofunguliwa Morogoro dhidi ya wabunge wa CHADEMA inatarajiwa kutolewa hukumu kesho.Lakini cha kusikitisha ni kwamba kesi hizo ni kama zishaamuliwa kwa sababu mkuu wa jeshi polisi mkoa wa Morogoro amemwaga askari hali ambayo sio ya kawada sio kwamba kuna kitu kimejificha.
Mkuu wa mkoa ambaye pia ni kada wa CCM ametoa amri kuwa wananchi wasifike mahakamani kusikiliza kesi kinyume na taratibu zilizowekwa.
Swali la kujiuliza kwanini wanamwagwa askari wengi namna hii?
Kwanini mkuu wa mkoa ametoa onyo wananchi wasijitokeze kusikiliza hukumu hiyo?? Kuna kitu ambacho kinaendelea kuna uwezekano kabisa refa ashapanga matokeo kabla timu hazijaiingia uwanjani,hivyo wapenda demokrasia hili jaribio lingine la ubakwaji wa demokrasia.
we lumumba punguza hasiraWe lofa kweli! Kwani ni kazi ya mahakama kutoa tahadhari? Je hujui kuwa moja ya kazi za wanausalama ni intelijensia!
Sasa tukio linalotokea morogoro,linamfanya mghana adharauliwe kwanini?Mnajidharaulisha kwa matendo yenu ya hovyo. Hapo unashabikia nini kwa matamko hayo ya RC & RPC ??!! Hamtawabadilisha watu kwa mkono wa chuma
Hasa kwenye mkoa wa makondakta.Wasengerema wanaongezeka nchi hii
kipi hicho ?Mkuu ccm kuna kitu inakitafuta kwenye nchi hii .
JF inaelimisha, lakini, hata matusi, mashambulizi makali, nk, yasiwe sehemu ya elimu.Wew jinga kabisa mahakam ndo itoe tahadhari....ivi umeandika mwenyew au umeandikiwa unatia kinyaaa
Hao wa Ghana unaowasema mpaka baada ya kunukishana kwanza ndipo akili za viongozi zilipokuwa sawa na kujiwekea mfumo mzuri wa kuongozana. Africa walio ktk uongozi hujiona Miungu watu na watawala. (Hii ndio shida ya Africa )Sasa tukio linalotokea morogoro,linamfanya mghana adharauliwe kwanini?
Ni jukumu la vyombo vya usalama kutoa tahadhari hasa pale ambapo kuna mazingira ya uvunjifu wa amaniJeshi la Polisi Mkoani Morogoro leo limetoa tahadhari kuwa halitasita kuchukua hatua kali kwa vikundi vya wanasiasa vitakavyokusanyika kesho kwenye mahakama ya Morogoro kusikiliza hukumu ya keshi ya uchaguzi kwenye majimbo ya Kilombero pamoja na Mrimba ambapo hukumu zote mbili zinatolewa Ijumaa wiki hii.
Wakati Polisi ikisema hivyo, RC nae amesema yoyote ambaye kesho hatakubaliana na uamuzi wa mahakama kuu akakate rufaa na asilete manung'uniko yasiyotarajiwa na wala asifanye mkusanyiko wowote ule kesho Ijumaa .
Kauli za wote hawa wawili binafsi zinanipa shaka kuwa kulikoni waanze na tahadhari za aina hii na kujipanga mapema kuonya wanasiasa kwa hukumu ambayo haijatoka. Je wanajua hukumu ina nini ndani yake hadi wameamua kutoa tahadhari hii?
Kwanini Mahakama isitoe tahadhari badalala yake Polisi na RC ndio watoe tahadhari hii? Kwanini itokee Morogoro tu na haijawahi kutokea mahala pengine popote tahadhari za aina hii?
Nimejiuliza sana na kesho nategemea bao la mkono Mahakamani.