Tahadhari - Wachumba wa Makabila

MACHINGA... Demu wa kabila hilo akikukataa tafuta sumu ukanywe wao neno hapana halimo katika msamiati wao...
 
Next:-> Bado nafanyia utafiti. Lakini nasikia watutsi uwa unavirefusha. Mtoto wa kike uwa anapakwa samli na kurefushwa sehemu zake nyeti kila. Sasa wakati wa shughuli usiogope ukafikiri kuwa mtoto wa kitutsi anataka kukupiga kidole.
 
Mwanyakyusa:

Wana ndevu. Na watabiri wa mambo wanasema ni dalili za pesa. Hivyo jiandae kuwa na mwanamke mfanyakazi, mtafutaji na atakaye kuruhusu kulala kilabuni lakini usiwe na wivu tu ndugu yangu.

Stay tuned.


Kwa kuongezea tu hapo mkuu mabinti wa kinyakyusa wanaamini kuwa wanaume wanapenda msichana anayetoa kilio fulani kwenye majambos hivyo kwao ikifika wakati wa misiba ndio huwa mashindano ya kutoa kilio maana wanajua wakaka wapo hapo kuchagua.Anayelia zaidi na dau lake linapanda.
 
Wasichana wa kimasai


Ukibahatika kufika kule kwao ngorongoro,na olesai toktok ni wakarimu kupindukia na wala hawana gogoro kwenye majambos,we mnunulie ugoro na mswaki wa mti tu baaaaas,kwisha kazi unajibebea kama unameza mlenda vile.
 
Wachumba wa kizaramo


Ukiwa nae wala usiwe na wivu utakufa bure maana wao wanadumisha mila na desturi za kutonyimana aka mafiga matatu.Sokoni lazima awe nae wa kumhonga nyanya na vitunguu,buchani lazima awepo wa kumhonga robo kilo ya nyama,ngomani lazima awepo domo la guruwe wa kumhonga soda au togwa,wa mwisho sasa ndio wewe baba wa nyumba.
 
Msichana wa kinyamwezi

Ukienda uko circumsized na unatumia mpira watatangaziana kijiji kizima fulani ni mgonjwa ukikutana nae anavaa sijui tunini, kama yale wanayopuliza watoto na ukimuangalia lidudu lake lina kichwa kama nyoka msimkubali atawapa ugonjwa wa mjini.

Hahahahahaha sina mbavu!
 
Kwenu wapi? Bukoba? Kule ni lazima umfurahishe mchumba kwa kugongagonga. Hama sivyo kaka zake wata-share na wewe.

Hili linji likubwa sana lina mikoa mingi sana mbona umeurukia mkoa huo haraka? haya Za10
:focus:
 
Kwenu wapi? Bukoba? Kule ni lazima umfurahishe mchumba kwa kugongagonga. Hama sivyo kaka zake wata-share na wewe.

umegusa upande mmoja,tuendelee na pande zingine zakumi ukiona tabu nenda kimkoa mkoa ili turahisishe
 
Wajaluo:

Wademu wa kijaluo wanapenda mieleka. Ni sifa kwa mwanamke kuwa mgumu. Hivyo akija nyumbani atakuwa amevaa chupi saba na sketi tatu. Kuondoa sketi ni lazima utumie nguvu. Na kuondoa chupi vilevile. Hivyo ni lazima ujiandee na mashindano ya mieleka.

Stay tuned

Uminikumbusha mbaaaaaliiiiiiii......:nono:
 
Wasichana wa kimasai


Ukibahatika kufika kule kwao ngorongoro,na olesai toktok ni wakarimu kupindukia na wala hawana gogoro kwenye majambos,we mnunulie ugoro na mswaki wa mti tu baaaaas,kwisha kazi unajibebea kama unameza mlenda vile.

Pmweusi:

Kwikwikwi. Usiite ugoro. Hule unga asilia. Anyway, nilikuwa nawania wale waganga wa kienyeji waliojazana DSM.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom