Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
- Thread starter
- #41
umegusa upande mmoja,tuendelee na pande zingine zakumi ukiona tabu nenda kimkoa mkoa ili turahisishe
Makabila mengi sana. Hila wanawake wa Tanga lazima uwe mvumilivu. Akirudi kwao kwenye shughuli, mpiga ngoma wa kijijini anakuzidi spidi.
Kwenye shughuli kama za harusi hivi, wakati wa usiku ni lazima upigwe mdumange. Mdumange ukikolea, mpiga ngoma anakatiza ngoma ghalfa na kupandisha mashetani huku akilia: nataka mavitu, nataka mavitu, nataka mavitu ....
Hili kulipoza shetani inabidi wachezaji wajitolee na baadaye ngoma inaendelea.