Soulbrother
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 405
- 14
Jamani!. Ni leo tuu asubuhi jamaa yangu kaniambia jana wamelizwa lexus yao mpya hapo Mlimani City, wameingia tuu ndani, within no time, wametoka, gari halipo!.Kwenye huu wizi wa hili gari jana, kuna ama good news inakuja, ama bad news inakuja, nitawaupdate ikifika.Sasa wanapaharibu, mimi niliumizwa na kitu kidogo sana, fake na conterfeit perfums kwenye maduka ya hapo!. Nilichoka kabisa, tena duka lenyewe mpaka wana testers kuthibitisha genuinity, kumbe...
nilinunua perfume ya 212 men na ilikuwa feki bora za mtaani na cha kuumiza zaidi nilitoa laki na buku tano...