GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Mwaka 80 Mmmmh nina mashaka na kichwa chako, Unajua kuhesabuHata mimi mara mbili nimekwenda kudepost kwa binti mmoja benki moja iko katikati ya jiji wakati nimezihesabu mwenyewe vizuri tu (mimi ni exbanker wa miaka ya 70 na 80 ) lakini yule binti a kaniambia hakuna elfu kumi mara mbili siku wa na jinsi nikatoa.