Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 11,773
- 9,967
Eti Ni kweli wanawake wafupi wengi wao hawana Bahati ya kuolewa??
Tena wengi wao hua wabishi na wajuaji.
Hilo la ubishi na ujuaji ni SAWA KABISA ila hilo la kwanza sijui.
Eti Ni kweli wanawake wafupi wengi wao hawana Bahati ya kuolewa??
Tena wengi wao hua wabishi na wajuaji.
Sio tu wanawake hata wanaume wafupi wengi wao huwa ni wabishi na wakorofi sijui kwanini
Japo siwezi kukuosoa uumbaji wa MUNGU but wanawake wafupi wananyodo sana.
Sivutiwi nao .
Napenda ma-big halafu tall yaani aanze 5feet8 na mnene walahi ntaenda hata kwa mganga nikupate.
Hapa mtaani kuna mbebez wa hizi sifa nishamwandalia bajeti atanasa soon akizingua napenyeza rupia .
Na akivua kyupi tu kibendi lazima niache alama yangu pale maana nchi hii saiv wote "emolo".
wanawake wengi wafupi wa wastani watamu hasa wanapokua wamejazia..
...k zao fupi pia...hawana vina kabisa...
Wasumbufu hao na hawajiamini ma andunje