Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Copied and pasted here!!
"Katika nchi yetu kitu kinachotushinda ni kufanyia kazi Vipaumbele! Tukiweza hili kila kitu kitakuwa sawa. HiviDaraja la Kigamboni lenye thamani ya shilingilioni 214 litakalokuwa likihudumia watu 30,000 tu lilikuwa lina umuhimu sana kwa wakati huu kuliko kuboresha Miundombinu ya Railway inayohudumia WaTz zaidi ya Milion Saba wa zaidi ya mikoa 10?
Tanzania siyo Dar Es Salaam peke yake. Kigoma, Rukwa (Mpanda), Tabora, Singida, Dodoma, Moro yote inategemea Reli hii. Tufanyie kazi vipaumbele badala ya Siasa!"
Kumbuka chuo cha UDOM(Collage zake zote 8) gharama yake ni 800 Billion.
"Katika nchi yetu kitu kinachotushinda ni kufanyia kazi Vipaumbele! Tukiweza hili kila kitu kitakuwa sawa. HiviDaraja la Kigamboni lenye thamani ya shilingilioni 214 litakalokuwa likihudumia watu 30,000 tu lilikuwa lina umuhimu sana kwa wakati huu kuliko kuboresha Miundombinu ya Railway inayohudumia WaTz zaidi ya Milion Saba wa zaidi ya mikoa 10?
Tanzania siyo Dar Es Salaam peke yake. Kigoma, Rukwa (Mpanda), Tabora, Singida, Dodoma, Moro yote inategemea Reli hii. Tufanyie kazi vipaumbele badala ya Siasa!"
Kumbuka chuo cha UDOM(Collage zake zote 8) gharama yake ni 800 Billion.