Ze Heby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 5,256
- 5,325
Mleta mada pole kwa unayopitia lakini unavyosema PSRS waanze na interns wa TAESA unaonesha kiasi gani ulivyo mchoyo.
TAESA wanatoa internship opportunities ili upate uzoefu ili uongeze employability yako. Na kwa kuwa mnaopitia TAESA mna uzoefu, tunategemea mko vizuri kucompete kwenye interviews.
PSRS wana recruit on behalf of the government ila hawaangalii uzoefu pekee. Wanaangalia MAARIFA, UJUZI, UWEZO, UMAHIRI etc. Sasa sio kila anaepata TAESA ana hivyo vitu
Mkuu, kama unaona hapo TAESA unateseka, njoo mtaani tuungane kupambana kutafuta ajira. Hiyo nafasi waachie wanaotaka kupata experience itakayowasaidia kwenye kutafuta ajira au kujiajiri, vyovyote.
Unasema wanakutumikisha mkuu, hapana, you are being exposed to the tasks ili upate huo uzoefu husika.
Salaam
TAESA wanatoa internship opportunities ili upate uzoefu ili uongeze employability yako. Na kwa kuwa mnaopitia TAESA mna uzoefu, tunategemea mko vizuri kucompete kwenye interviews.
PSRS wana recruit on behalf of the government ila hawaangalii uzoefu pekee. Wanaangalia MAARIFA, UJUZI, UWEZO, UMAHIRI etc. Sasa sio kila anaepata TAESA ana hivyo vitu
Mkuu, kama unaona hapo TAESA unateseka, njoo mtaani tuungane kupambana kutafuta ajira. Hiyo nafasi waachie wanaotaka kupata experience itakayowasaidia kwenye kutafuta ajira au kujiajiri, vyovyote.
Unasema wanakutumikisha mkuu, hapana, you are being exposed to the tasks ili upate huo uzoefu husika.
Salaam