Unamfundisha mwanafunzi anakuambia sijaelewa, unarudia mara mbili zaidi bado hajaelewa, lakini baadae unagundua mwanafunzi huyu ni wa kike na wewe mwalimu ni mwanaume ufanyeje?
kama somo hili nalijua mimi tu nifanyeje?ukiona anakuganda si utafute mwalimu mwingine wa kike amueleweshe?? au we tu ndo mwalimu kwenye hiyo shule??
tobaaa!!!!!!!!unamfundisha somo linaloeleweka zaidi, na lenye raha ya ajabu mfikapo kileleni
Unamfundisha mwanafunzi anakuambia sijaelewa, unarudia mara mbili zaidi bado hajaelewa, lakini baadae unagundua mwanafunzi huyu ni wa kike na wewe mwalimu ni mwanaume ufanyeje?
unamfundisha somo linaloeleweka zaidi, na lenye raha ya ajabu mfikapo kileleni
nimeweka msisitizo kwasababu ndio ninaokumbana nao. mara ticha sijaelewa, mara ticha rudia tena somo la jana. n.kwhy umeweka msisitizo kuwa ni dent wa kike?
acha uongo wewe! Ulikua unafanya cheating na sio teaching kama uliwah kufundiisha. Mbona nafundisha shule ya mabinti tuu na maisha yanaendelea?hizo changamoto ndio ziliacha nikakikmbia ualimu....ikimbieni zinaaaa