Hansy wa East
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 447
- 230
Wakuu kati ya tablet na laptop ni ipi bora kwa matumizi ya kawaida na uimara?
Wakuu kati ya tablet na laptop ni ipi bora kwa matumizi ya kawaida na uimara?
Are Huawei tablets in the market? If yes,any competitive advantage over the others?
Am so dissapointed na huawei wametoa tablet mpya ila bei ipo juu
Tablet yao ya bei rahisi inaitwa media pad 7 lite ila bei ni zaidi ya dola 200 kwa specific za kizushi
Still kwenye game now kuna tablet 3 tu
-kindle fire 8gb
-kindle fire hd 16gb
-asus nexus 8gb
Zote ni chini ya dola 200 (199.99)
Both.....nina tablet used naiuza 180000 just in case u want one
Both.....nina tablet used naiuza 180000 just in case u want one
Both.....nina tablet used naiuza 180000 just in case u want one
sioni samsung,ipad au toshiba etc etc, kwanini una mention hzo3 tu? Na kati ya hzo,kama ni wewe unge prefer ipi na kwanini. Sorry, maswali mengi ndo kujua huko.
Hizi tablet 3 zimetuonesha kumbe zinawezekana kuuzwa rahisi
Samsung, toshiba tablet zinaanzia laki 5 kupanda na ipad ndo usiulize bei lakini hizi zinaanzi laki 2 na nusu hadi 3 na nusu.
je ni cheap hardware?
Si cheap hizi tablet wamediverge responsibility zake na kutimiza mahitaji specific
-mfano kindle fire hd ina screen ya hd dual speakers na specification kali kwa wapenda movie, miziki mauzo wenye uelewa mdogo wa app na hata screen menu yake very innovative
-nexus 7 hii kwa wazee wa kazi sifa kubwa ina quad core kwa wanaopenda app hii yao na wanafunzi wasio na laptop hii ndo nzuri ya kureplace package za account mambo ya uchumi vyote vitarun smoothly
Na hata kwenye comparison na tablet za bei ghali zinacompete vizuri tu.
Mi naprefer kindle fire hd kwa sababu ninayo laptop nataka matumizi machache tu. Kama huna laptop go for nexus mkuu
Hizi tablet 3 zimetuonesha kumbe zinawezekana kuuzwa rahisi
Samsung, toshiba tablet zinaanzia laki 5 kupanda na ipad ndo usiulize bei lakini hizi zinaanzi laki 2 na nusu hadi 3 na nusu.
je ni cheap hardware?
Si cheap hizi tablet wamediverge responsibility zake na kutimiza mahitaji specific
-mfano kindle fire hd ina screen ya hd dual speakers na specification kali kwa wapenda movie, miziki mauzo wenye uelewa mdogo wa app na hata screen menu yake very innovative
-nexus 7 hii kwa wazee wa kazi sifa kubwa ina quad core kwa wanaopenda app hii yao na wanafunzi wasio na laptop hii ndo nzuri ya kureplace package za account mambo ya uchumi vyote vitarun smoothly
Na hata kwenye comparison na tablet za bei ghali zinacompete vizuri tu.
Mi naprefer kindle fire hd kwa sababu ninayo laptop nataka matumizi machache tu. Kama huna laptop go for nexus mkuu
Both.....nina tablet used naiuza 180000 just in case u want one
Iyo asus nexus bongo zimefika mkuu?Am so dissapointed na huawei wametoa tablet mpya ila bei ipo juu
Tablet yao ya bei rahisi inaitwa media pad 7 lite ila bei ni zaidi ya dola 200 kwa specific za kizushi
Still kwenye game now kuna tablet 3 tu
-kindle fire 8gb
-kindle fire hd 16gb
-asus nexus 8gb
Zote ni chini ya dola 200 (199.99)
Iyo asus nexus bongo zimefika mkuu?