Pleasepast
JF-Expert Member
- May 30, 2023
- 325
- 454
Habari za siku wapendwa.
Kwenye maisha watu tunatofautiana sasa wapo watu wengine wana ile tabia ya kusambaza jambo mpaka kwa watu ambao hawahusiki kabisa je.? Ni njia gani itumike kuishi nao au kuwathibiti yani iko hivi tuseme unaishi na mke wako au mume wako lakini ikitokea mmepishana kauli kidogo tu tena mkiwa mbali mbali sasa ile labda unamtumia sms ambayo ni ya ugomvi na wote mnatumiana lakini yeye anachambua zile ambazo zina mgusa kisha ana forward kwa ndugu zake wote unakuta mmekwazana kawaida tu lakini hakujibu io sms uliyotuma kwake lakini baada ya dakika 20 unapokea majibu ya io sms kutoka kwa dada yake mara ghafla kwa kaka yake ghafla tena kutoka kwa mama yake na zote zinatoa jibu la sms ambayo ulimtumia yeye hivi wakuu hii kitaalamu imekaaje na mara nyingi ni wanawake ndio wanakuwa hivi sasa uyu mke utaishi nae vipi.
Naomba kuwasilisha tujadili hii tabia na wengine wajue jinsi ya ku handle hii issue.
Kwenye maisha watu tunatofautiana sasa wapo watu wengine wana ile tabia ya kusambaza jambo mpaka kwa watu ambao hawahusiki kabisa je.? Ni njia gani itumike kuishi nao au kuwathibiti yani iko hivi tuseme unaishi na mke wako au mume wako lakini ikitokea mmepishana kauli kidogo tu tena mkiwa mbali mbali sasa ile labda unamtumia sms ambayo ni ya ugomvi na wote mnatumiana lakini yeye anachambua zile ambazo zina mgusa kisha ana forward kwa ndugu zake wote unakuta mmekwazana kawaida tu lakini hakujibu io sms uliyotuma kwake lakini baada ya dakika 20 unapokea majibu ya io sms kutoka kwa dada yake mara ghafla kwa kaka yake ghafla tena kutoka kwa mama yake na zote zinatoa jibu la sms ambayo ulimtumia yeye hivi wakuu hii kitaalamu imekaaje na mara nyingi ni wanawake ndio wanakuwa hivi sasa uyu mke utaishi nae vipi.
Naomba kuwasilisha tujadili hii tabia na wengine wajue jinsi ya ku handle hii issue.