Sanctus Mtsimbe
R I P
- Jul 14, 2008
- 1,820
- 1,031
Wanajamii
Taasisi ya Regia Mtema Foundation (RMF) iliyosajiliwa BRELA Tarehe 27-04-2012 na kupewa Cheti Cha Usajili No: 90580 imeshaanza rasmi kazi zake na pia kazi ya kuandika "Biography ya Regia Mtema" na pia kuandika "Kitabu Cha Kero Za Wananchi" ambazo Marehemu Regia alikuwa amezikusanya ili hatimaye ziwakilishwe kwa wahusika. Tayari RMF imeshaingia Mkataba wa Kuandika Vitabu hivyo na Kampuni (Biography) na Mwandishi wa Kujitegemea (Kero za Wananchi).
Vitabu vyote viwili vinatarajiwa kukamilika katika muda wa Siku 60 zijazo na hivyo kuweza kuzinduliwa rasmi.
Jumla ya TZS 20.3 Millioni zinatakiwa ili kukamilisha kazi ya kuchapisha Nakala 1000 za awali kwa kila kitabu.
Kwa niamba ya RMF naomba kutoa wito kwa Marafiki wote wa marehemu Regia; Ndugu, Jamaa na Marafiki ambao Walithamini Michango na Kazi Zake na sasa wangependa kuchangia Kifedha katika kufanikisha kazi hii wanakaribishwa sana kuweza kuchangia.
Michango iwakilishwe kwa:
Michaeli Dalali - Katibu wa RMF: +255 +255 783 222 217; +255 717 011 112
Maxence Mello - Mjumbe wa Bodi: +255 784 526 444
Sanctus Mtsimbe - Mwenyekiti RMF: +255 782 820 820
Unaweza pia kutoa Ahadi yako kwa kunitumia PM hapa JF na kutoa Contacts zako ili tuweze kufuatilia kama utapenda.
Kwa wale waliopo Dar Es Salaam tunaweza kutuma mjumbe kuja kuchukua mchango wako popote ulipo na hivyo kurahisisha upatikanaji wa mchango wako.
Waliopo Mjini Dar Es Salaam, mnaweza kutoa Michango yenu kwenye Ofisi za Muda za RMF zilizopo:
Sokoine Drive/Pamba Road
Opposite Luther House or Life House/Standard Chartered Bank
Tancot House;
2[SUP]nd[/SUP] Floor; Left Wing (3rd Floor including Mezanine)
Kwa yeyote anayependa kuwa Mwanachama wa Taasisi hii ya RMF anaweza kutuandikia na tutamtumia nyaraka zote muhimu zinazohusiana na Taasisi.
Wasalaam
Sanctus Mtsimbe
Mwenyekiti wa Muda
Regia Mtema Foundation
sam@danimex.com
+255 782 820 820
Taasisi ya Regia Mtema Foundation (RMF) iliyosajiliwa BRELA Tarehe 27-04-2012 na kupewa Cheti Cha Usajili No: 90580 imeshaanza rasmi kazi zake na pia kazi ya kuandika "Biography ya Regia Mtema" na pia kuandika "Kitabu Cha Kero Za Wananchi" ambazo Marehemu Regia alikuwa amezikusanya ili hatimaye ziwakilishwe kwa wahusika. Tayari RMF imeshaingia Mkataba wa Kuandika Vitabu hivyo na Kampuni (Biography) na Mwandishi wa Kujitegemea (Kero za Wananchi).
Vitabu vyote viwili vinatarajiwa kukamilika katika muda wa Siku 60 zijazo na hivyo kuweza kuzinduliwa rasmi.
Jumla ya TZS 20.3 Millioni zinatakiwa ili kukamilisha kazi ya kuchapisha Nakala 1000 za awali kwa kila kitabu.
Kwa niamba ya RMF naomba kutoa wito kwa Marafiki wote wa marehemu Regia; Ndugu, Jamaa na Marafiki ambao Walithamini Michango na Kazi Zake na sasa wangependa kuchangia Kifedha katika kufanikisha kazi hii wanakaribishwa sana kuweza kuchangia.
Michango iwakilishwe kwa:
Michaeli Dalali - Katibu wa RMF: +255 +255 783 222 217; +255 717 011 112
Maxence Mello - Mjumbe wa Bodi: +255 784 526 444
Sanctus Mtsimbe - Mwenyekiti RMF: +255 782 820 820
Unaweza pia kutoa Ahadi yako kwa kunitumia PM hapa JF na kutoa Contacts zako ili tuweze kufuatilia kama utapenda.
Kwa wale waliopo Dar Es Salaam tunaweza kutuma mjumbe kuja kuchukua mchango wako popote ulipo na hivyo kurahisisha upatikanaji wa mchango wako.
Waliopo Mjini Dar Es Salaam, mnaweza kutoa Michango yenu kwenye Ofisi za Muda za RMF zilizopo:
Sokoine Drive/Pamba Road
Opposite Luther House or Life House/Standard Chartered Bank
Tancot House;
2[SUP]nd[/SUP] Floor; Left Wing (3rd Floor including Mezanine)
Kwa yeyote anayependa kuwa Mwanachama wa Taasisi hii ya RMF anaweza kutuandikia na tutamtumia nyaraka zote muhimu zinazohusiana na Taasisi.
Wasalaam
Sanctus Mtsimbe
Mwenyekiti wa Muda
Regia Mtema Foundation
sam@danimex.com
+255 782 820 820