Saa hizi wameshushiwa posho, ili Upate buku saba ni lazima utume post za uharo kama hizi zaidi ya ishirini kwa saaHivi bado mnalipwa Bk7 au mmeshaongezewa dau?
sheria ya mtamdao ina nafasi yake nzuri. Kuna vifungu ambavyo ni laana. by the way mimi siyo CDM. Nataka haki na usawa vinapohitajika!Kwa sentensi yako ya mwisho kuna uwezekano leo CDM mkasupport sheria ya mtandao.
teh teh jamaa ana #tb matata sana, kumbe hii na wema ni muendelezo tu!!
DJDisk jockey?
Hii ni taaluma mpya?