Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,959
- 872
Naomba ututajie ili nao tuwajadili hapa
1.Hivi Emmanuel Nchimbi anaishi Songea?Hilo huoni kama ni tatizo?
2.Hvi John Komba anaishi Mbinga?
3.Hivi Jenista Mhagama anaishi Peramiho?
4.Abdalah Mtutura anaishi Tunduru?
Jadili hawa pia.Huko Masaki wanakoishi wanawawakilisha kina nani?Masaki hawana Mbunge hadi wao waishi uhamishoni?Huku kwingine ni kwa sababu hakuna Supermarket.