olewa na wewe kwa baba wa taifa ili upate hilo jina badala ya kumwonea wivu leticia.poleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!asijitambulishe kwa jina la nyerere, hana hadhi please!!!!!
olewa na wewe kwa baba wa taifa ili upate hilo jina badala ya kumwonea wivu leticia.poleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!asijitambulishe kwa jina la nyerere, hana hadhi please!!!!!
Hawa CDM siku zote ndio huwa wanapinga watoto wa viongozi kushika madaraka. Sasa nashangaa ndani ya CDM majina ya Nyerere yametawala.
Traffic citation siyo kesi hizo acha ushamba .Mtu aliyeendesha gari Marekani anaweza kupata parking ticket hata Obama anazo. Wewe mshamba sana na itakuwa vigumu sana kwako kuelewa.Leticia hana uraia wa nchi mbili acha uzushi wa kiswahili.Leticia haishi Marekani isipokuwa aliwahi kuishi huko miaka mingi kabla ya kurudi Tanzania 2009.Kama hujui jambo uliza badala ya kuanza uzushi.Tuache ushabiki wa chama, tujadili hoja! L.nyerere inasemekana
1. Anakabiliwa na kesi saba, hakuna mtu anayejua ni kesi zinahusu nin?
2.ana uraia wa nchi mbili.
3.ana ishi marekan.
Hayo yote ni tuhuma, hakuna mwenye ushaidi/uwakika kama ni kweli au la. Cha msingi ili kuondoa sitofahamu, ni bora yeye/cdm watoe majibu au maelezo.
Maskini kumbe ni wivu wa jina unakusumbua,pole sana.Nitaongea na Andrew akuoe ili nawe uitwe mama Nyerere maana ndiye ambaye hajaona katika watoto wa mwalimu.Kumbe tatizo siyo Leticia bali jina linakuuma. Maskini wa Mungu ndiyo maana una roho mbaya maana hujidhamini wewe mwenyewe badala yake unadhamini majina ya watu wengine. Too bad!Asijitambulishe kwa jina la Nyerere, hana hadhi please!!!!!
Traffic citation siyo kesi hizo acha ushamba .Mtu aliyeendesha gari Marekani anaweza kupata parking ticket hata Obama anazo. Wewe mshamba sana na itakuwa vigumu sana kwako kuelewa.Leticia hana uraia wa nchi mbili acha uzushi wa kiswahili.Leticia haishi Marekani isipokuwa aliwahi kuishi huko miaka mingi kabla ya kurudi Tanzania 2009.Kama hujui jambo uliza badala ya kuanza uzushi.
matumizi ya posho ni yapi?Mbona hamja2jibu kwann anachukua posho lakini anaishi nje?
...Yaani imefikia kuchafuana kiasi hiki!? Watu wana roho mbaya sana...Duh!
Hawa CDM siku zote ndio huwa wanapinga watoto wa viongozi kushika madaraka. Sasa nashangaa ndani ya CDM majina ya Nyerere yametawala.
Mbona hamja2jibu kwann anachukua posho lakini anaishi nje?
Nyerere wako wangapi Chadema? au bado una-stress za kuukosa ubunge, una hangika kujikosha uonewe huruma pole sana...Arumeru mlimpa Sioi ili akalishe familia aliyoachiwa na baba yake haya yanafanyika kwenye chama gani kingine?- Tena wanapinga hayo kufanyika ndani ya CCM tu, ila wakija kwao ni sawa kumbe unajua hili? Sawa sawa kwa mara ya kwanza kuona member anayejua ukweli!
William.
Tafuta ukweli kwanza ndiyo uje siyo tujadili hisia zako na umbea....Tuache ushabiki wa chama, tujadili hoja! L.nyerere inasemekana
1. Anakabiliwa na kesi saba, hakuna mtu anayejua ni kesi zinahusu nin?
2.ana uraia wa nchi mbili.
3.ana ishi marekan.
Hayo yote ni tuhuma, hakuna mwenye ushaidi/uwakika kama ni kweli au la. Cha msingi ili kuondoa sitofahamu, ni bora yeye/cdm watoe majibu au maelezo.
Asijitambulishe kwa jina la Nyerere, hana hadhi please!!!!!
Tukutajie wabunge wanaoishi nje ya nchi na nje ya majimbo yao....?
Nyerere wako wangapi Chadema? au bado una-stress za kuukosa ubunge, una hangika kujikosha uonewe huruma pole sana...Arumeru mlimpa Sioi ili akalishe familia aliyoachiwa na baba yake haya yanafanyika kwenye chama gani kingine?
Tafuta ukweli kwanza ndiyo uje siyo tujadili hisia zako na umbea....
Hawa CDM siku zote ndio huwa wanapinga watoto wa viongozi kushika madaraka. Sasa nashangaa ndani ya CDM majina ya Nyerere yametawala.
- Tena wanapinga hayo kufanyika ndani ya CCM tu, ila wakija kwao ni sawa kumbe unajua hili? Sawa sawa kwa mara ya kwanza kuona member anayejua ukweli!
William.