KennedyMmari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2012
- 979
- 183
...
Just wait for followup batch..Ahsante kwa taarifa. Mimi nimechagulia provisionally kupitia NACTE na list za UDSM sijaona jina langu. Can u plz help in this?
Just wait for followup batch..
Kumbe UDSM imeshatoa batch zingine mbali na ile ya kwanza? poor me!!
nimekuta tangazo www.udsm.ac.tzTupia hapa mkuu
Ningeomba kujua kwa mtu anayetaka kubadili course,kwa hilo tatizo si ni mpaka tar 30 ndo kusaidiwa
TAARIFA KWA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM, MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE MAIN CAMPUS.
Serikali ya wanafunzi chuo kikuu cha Dar es salaam (DARUSO) inapenda kuwataarifu wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na chuo kikuu cha Dar es Salaam kwa mwaka wa masomo 2015/2016 kuwa tayari wanaweza kufuata kufuata admission letter chuoni.
Hii ni kwa wale waliopo katika mkoa wa Dar es Salaam kwa sasa. Wanafunzi wote waliochaguliwa na wapo mikoani watachukua admission letter kuanzia tarehe 31 October 2015, tarehe ambayo ndio wanafunzi wote wa mwaka wa kwanza watafika chuoni rasmi.
Hivyo, ikiwa umechaguliwa kuanza masomo yako ya chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) mlimani campus, na Upo Dar es salaam, unaweza kufika chuoni kuanzia kesho tarehe 13 October 2015 na kupata admission letter Jengo Utawala, Room namba 105.
Kuhusu form nyingine Kama form ya uchunguzi Wa Afya, malipo yote ya chuoni n.k zinapatikana mtandao kupitia website ya chuo www.udsm.ac.tz
Ingia kwenye kipengele cha undergraduate na utaona form zote hapo.
Ni vyema kwa wanafunzi wa mikoani kufika tarehe 31 October ili kuanza orientation week.
Ili uweze kupata Admission Letter unalazimika kuja na Kitambulisho chochote kinachoweza kukutambulisha kama Leseni ya Udereva, Kitambulisho cha mpiga, passport na aina nyingine ya vitambulisho vinavyokubalika.
Imetolewa na Wizara ya Habari, Mawasiliano na Mambo ya nje-DARUSO
Waziri; Yahaya Jalia- 0719 120 001
N. Waziri: Kennedy Mmari-0719579733
Tupia hapa mkuu
TAARIFA KWA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM, MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE MAIN CAMPUS.
Serikali ya wanafunzi chuo kikuu cha Dar es salaam (DARUSO) inapenda kuwataarifu wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na chuo kikuu cha Dar es Salaam kwa mwaka wa masomo 2015/2016 kuwa tayari wanaweza kufuata kufuata admission letter chuoni.
Imetolewa na Wizara ya Habari, Mawasiliano na Mambo ya nje-DARUSO
Waziri; Yahaya Jalia- 0719 120 001
N. Waziri: Kennedy Mmari-0719579733